KISHIMUNDU KWETU
Senior Member
- Jun 21, 2016
- 132
- 165
Yule mtoto anafanana na wengiWe ndo baba wa kile kitambi kachukue mwanao nimekujua leo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Vijana mlikua na bidii mnanunua juisi na soda pale kila sikuYule mtoto anafanana na wengi
DuuhMimi nilisoma MWAKA 1971-74 mabweni yalikuwa na maji na hayo hayo SHABANI ROBERT. MNYAMPALA. LUMUMBA MAKONGORO NA MKWAWA. Kuna mzee alikuwa night guard tulikuwa tunamwita NAZIMIA sababu ya kuwasha taa jioni na kuzima asubuhi. Waalimu wakùu Mwl ELINAZA nasikia ni marehemu Mwl KATE NDE sijui yuko wapi. Waalimu wengine Mwl Mhango Orji (mnigeria) hap endi maji na ya kiingereza William, curthbert au George) dar asani hamuelewani nilisimsahau Mwl Gorge Mpelumbe yeye ni mjomba wangu tupo naye tunajenga taifa. Lile hall la mikutano tulilifungua wa kati wa graduation MWAKA 1974 ulipigwa muziki a aah. Old is gold
Bila kusahau zile fangas....za kwenye naniiiVijana mlikua na bidii mnanunua juisi na soda pale kila siku
Hahahaaa mbona kwa urasa napo kulikua na soda hamuendiii?
HahahahaaaBila kusahau zile fangas....za kwenye naniii
Ile purukushani ndo iliyofanya J.J KAAYA aondolewe Minaki na kumpa fursa Mr.Chungu kuwa head of the School,na hakika Mr.chungu aliifanya Minaki kuwa ya maziwa na asali,hongera sanaaa kwake brother CHUNGU,he is a good leader kwa kweli.Daaah nakumbuka mkuu
That time tulikua F5 ( mi nilikua CBG)
Mgomo ulikua organized na F6
Nashukuru viongozi wa mkoa,wilaya na uongozi wa shule waliu solve kiutu uzima hakuna aliyefukuzwa shule
Nakumbuka hadi faini tuliyolipa ilikua Tsh 3200 kila mwanafunzi ili kuwanusuru waliotajwa katika mgomo wasifukuzwe shule
Kiberiti alikuwa anajua practical tuAdvance nikasoma Pugu na huko nikakutana na mtabe wa Chemistry alikuwa anaitwa Kiberiti
Mnyampala 2003-2005, sijawahi kunywa chai tamu kama chai ya maji ya pondTeam mnyampala 2008-10
Nilikufundisha wewe ulikuwa na Akna MwasoteNilikuwa Minaki 2009-2011,
Bweni Lumumba nilikuwa Chairperson.
Nilikuwa HGE.Wengi wananikumbuka kwa Kinjemba. Nimewakumbuka sana. Ebu tuorginize event ya kutuleta pamoja.
Umekuta Mr. Chungu kasharekebisha vitu vingi ndugu yanguNilipita minaki 2014-2016 daah maisha ya minaki was so nice
HAKUNA kitu nilikuwa napenda Kama ki drop weekend.