Richard lugusi
Member
- Jan 15, 2015
- 67
- 8
Habari wanajamvi!
Mimi mwenzenu kuna suala linanisumbua kichwani, naomba kuuliza hivi tuliosomea psychology katika masuala ya elimu naweza kuajiriwa kwa sabab nina somo moja la kufundishia ambalo ni Kiswahili na nmesoma TEKU.
Na mimi jina langu laweza kuwemo TAMISEMI?
Mimi mwenzenu kuna suala linanisumbua kichwani, naomba kuuliza hivi tuliosomea psychology katika masuala ya elimu naweza kuajiriwa kwa sabab nina somo moja la kufundishia ambalo ni Kiswahili na nmesoma TEKU.
Na mimi jina langu laweza kuwemo TAMISEMI?