The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Mkuu mama alikuwa na tabia mbaya, yaani ukilembea neno kama sio type yake basi anauza CD kwa waifu, hili jimama yaani lina kila tabia mbovu, kuna siku nililitania tu , umependezaa! liliangusha msala ikabidi jibaba niombe yaishe tu lol
aisee na kama lilikuwa limenona si maumivu alikupa????
huwa zipo hizo.kila mtu anapewa kasoro wewe tu...lol