mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,152
- 3,473
NYONGEZA: Kwa uhahika kabisa Serikali iwatoe hawa mamluki waliovamia fani yetu. Tutalipeleka hili suala T.T.U.(C.W.T) Kama hawataki tutawatoa kwa winch. Kama unataka kuwa mwalimu nenda chuoni.!!!
Naomba wizara ya elimu iwachukulie hatua za kisheria wamiliki wa shule binafsi na vyuo vya ualimu kwa kuajili watu ambao hawajasomea taaluma ya ualimu kuwa walimu na wakufunzi wa vyuo vya ualimu. Kitendo hiki kinazidi kinachangia utolewaji wa elimu isiyo bora. Ni aibu kweli kweli unakuta watu wamesomea sociology, Political science, law, engineering n.k eti ndo walimu.
Walimu ni kimbilio tu sio malengo
Walimu wengi kama siyo wote wa vyuo vikuu hawajasomea ualimu lakini wanapiga kazi nzuri tu.
thubutu yao!
Walimu wengi kama siyo wote wa vyuo vikuu hawajasomea ualimu lakini wanapiga kazi nzuri tu.
Sasa Div two n ufaulu mdogo?
Naomba wizara ya elimu iwachukulie hatua za kisheria wamiliki wa shule binafsi na vyuo vya ualimu kwa kuajili watu ambao hawajasomea taaluma ya ualimu kuwa walimu na wakufunzi wa vyuo vya ualimu. Kitendo hiki kinazidi kinachangia utolewaji wa elimu isiyo bora. Ni aibu kweli kweli unakuta watu wamesomea sociology, Political science, law, engineering n.k eti ndo walimu.
Kwa vijana wa mjini dar kuna mtu alikua anaitwa mkandawile mkali wa chemistry anafahamika sana kwa tuition pia alikua ni mwalimu wa chemistry kwa A level pugu boys wakati huo mm nilikua O level miaka ya 1997-2000...kama huyu aliwezaje kuwa mwalimu kwny shule ya serikali wakati serikali inajua kuna walimu by professional wanagradute kila mwaka??
Sasa mbona matokeo yakija shule za serikali ovyooooo ndo mnakopangiwa nyinyi huko mliosomea ila pole bana