Waliotajirika kupitia Q-Net njooni mtoe ushuhuda

Waliotajirika kupitia Q-Net njooni mtoe ushuhuda

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Ukikutana na hawa mabingwa mara nyingi wanavaa kitajiri, wameshika simu za kuanzia Milioni, gari angalau la kuthibitisha ukwasi wao.

Hupenda kukutana mahoteli ya kifahari.

Nimependa kujua uhalisia wa Maisha haya au huu huwa ni urimbo wakutupigia.
 
ushahidi utauona huko huko mkuu
Acha hizo mkuu
Nimewahi kwnda ubungo Plaza
Mlimani city
Makumbusho millenium tower
Makumbusho Plaza moja kabla ya Victoria nimrpasahau Jina
hidery Plaza town

sijawahi kuona ndio maana nakushangaa unashindwa kutoa ushuhuda hapa anonymously utawezaje face to face.
 
Hawa hapa
IMG-20200219-WA0016.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapumbavu kabisa hawa tena matapeli hawapaswi hata kufumbiwa macho

Hawa na wale vimbau mbau wa global alliance wanaotufanyia drama pale makumbusho waambienj tumesanuka mlijidai kujificha kwenye matuta ya karanga mlijua hamtaonekana?
 
Tuonane Makumbusho kesho. Gharama za kukuleta hapa ni juu yangu. Uje uone tunavyofaidi maisha
Hahahaa Wewe ndo yule mr john son uliyekua ukitoa ushuhuda hapo juzi pale makumbusho

Unamiliki milion 100+ halafu unatumia jamaa kuogea?

It's Scars
 
Kwa nini mnakuwa waongowaongo sana na hamko tayari kujibu maswali magumu.
Fursa ya mtonyo hawawezi kutumia nguvu kubwa kukuita wakati ile haihitaji skills yeyote anaweza akaifanya

Kwanini asiwa-invite ndugu zake na marafiki wake wa karibu wanufaike na hilo dili mpaka akushobokee wewe?

Kifupi ni kwamba wewe ndio fursa kwao

It's Scars
 
Back
Top Bottom