Waliotajirika kupitia Q-Net njooni mtoe ushuhuda

Sheria za kazi haziruhusu mkuu
 
Nilikuwa meneja TANESCO Dodoma nikaacha kazi.....
Mie nilikutana na "meneja" wa NMB aliyekuwa analipwa 5m kaacha kazi kuja Qnet. Bahati mbaya sana hafananii kabisa na kipato alichosema. Unajua, mtu mwenye pesa presentation yake inajulikana tu. 🤣 🤣
 
Mie nilikutana na "meneja" wa NMB aliyekuwa analipwa 5m kaacha kazi kuja Qnet. Bahati mbaya sana hafananii kabisa na kipato alichosema. Unajua, mtu mwenye pesa presentation yake inajulikana tu. [emoji1787] [emoji1787]
Isije kuwa yule mdada yupo pale Mwananyamala alikuwa Nmb Mbeya?
Anasema aliacha kazi ili ajikite Qnet wakati sio kweli, alifukuzwa.
 
Matajiri wa Qnet jamani mnatuangusha
 
Walimu wa Hai wanalia saizi.
Wamepigwa QNET
 
Mimi ndo huwezi kunidanganya Sijui Qnet mara Desi mara Sijui Panda na kuvuna,mimi hawatanipata ng'ooo.
 
Write your reply...haw ni matapeli ndg yangu na mumewe wliingia then wakaanza kunishawishi daily wananifata asubui jioni nikaona kero nikatoa laki na nusu kuwaonesha naanza kulipia sikupatkana tena! matokeo yake mpaka ndoa yao imevurugika kisa qnet.
 
Isije kuwa yule mdada yupo pale Mwananyamala alikuwa Nmb Mbeya?
Anasema aliacha kazi ili ajikite Qnet wakati sio kweli, alifukuzwa.
Dah , ina maana hawa wote walikuwaga mabosi kwenye mabenki ya nchini ??? Alokuwa ananiwinda alikuwa Banker pia - KCB na benki nyingine International , akaona QNET kaaacha kazi .
 
Kuna mtu hapa suma jkt anatutambia ameacha kazi ya 2.5m kajiunga na q-net maisha yake yako poa saiv kwa mujib Wa maelezo yake lkn uhalisia mh goja nitawapa update Niko nao hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…