Waliotaka kuiba kwenye ofisi za Betting Dar wafariki dunia

Mob justice, hatuko mbali na yanayotokea hapo SA,sasa police watawatafuta waliofanya hii mob justice?,tunaishi in a shithole country, wapi sheria za nchi?
Ni ajabu hata KAMANDA halaani kitendo cha wananchi kujichukulia sheria mikononi maana hata polisi wake nao wanafanya hivyo hivyo. Kama mahakama zetu zimeshindwa kazi, turuhusiwe tuwaue pia wezi wakubwa serikalini na wabaridhifu wote wanaoiba mpaka "Future" ya watoto na wajukuu wetu. Hawa vibaka na Panya road wanaadhiri mtu mmoja mmoja lakini hao wezi na wabadhirifu wa mali, wana adhiri taifa zima. Kwanini wao tuwaache
 
Unaweza Kuta polisi waliendeleza kipigo baada YA kufika central, Safi Sana raia wamevuna walichopanda.
 

Viongozi tuliowapa dhamana ya kutuongoza ndio wanaotufikisha hapa,mosi kwa mitahala mibaya ya elimu,pili sheria na sera mbaya mbaya na tatu ukwapuaji wa mamilion ya wananchi unaofanywa na viongozi ingekuwa vyema tuanze kudeal na hawa automatic na huku chini panyaroad nao wangenyooka tu
 
Sasa ndio wamefanyaje jamani hao vijana

Badala ya kubet wao wanakwiba
 
Watu wanahasira za kuliwa mikeka yao, ati vijamaa viwili waje tu kujichukulia kiulani...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…