Waliotaka Rais Samia aachie kiti ili wao wapige kura kwanini wasishtakiwe kwa uhaini?

Kwani kupiga kura kwa katiba yenu ni kosa ?
 
Ule ni mkutano wa chama sio wa serikali..
 
Mawazo mgando
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…