Waliotaka Rais Samia aachie kiti ili wao wapige kura kwanini wasishtakiwe kwa uhaini?

Waliotaka Rais Samia aachie kiti ili wao wapige kura kwanini wasishtakiwe kwa uhaini?

Waliotaka mhe Rais aachie kiti ili wao wapige kura kwanini wasishtakiwe kwa uhaini?

Napendekeza hawa wakamatwe na kuchukuliwa hatua kali zinazostahili tukianzia na mhe yule.

Haiwezekani tuwe kama Banana Republic kila mmoja anasema tu anachojisikia hata kama hakina afya.
Thread yako akiisoma Mheshimiwa atafurahia sana
 
Wapambe nuksi sana,mimi huwa nampuuza sana Kibajaji kwani mara nyingi yeye ni mtu wa mipasho na matusi lakini kwa juzi alikuwa sahihi wala hakuwa na nia mbaya ila sasa wapambe wamemuelewa vibaya,ila na yeye ajifunze kuwa huu uchawa ukizidi siyo mzuri kwani alichokuwa anafanya ni uchawa tu kama anavyofanya chawa mbobevu wa JF Lucas Mwashambwa.
Kweli alinukuliwa vibaya..yeye alitaka mama atoke then azimio lipitishwe..Ila Sasa imeonekana vice versa
 
Hivi una akili timamu kweli au unatumia kichwa kama bakuli la kuhifadhia mate🧐
 
Waliotaka mhe Rais aachie kiti ili wao wapige kura kwanini wasishtakiwe kwa uhaini?

Napendekeza hawa wakamatwe na kuchukuliwa hatua kali zinazostahili tukianzia na mhe yule.

Haiwezekani tuwe kama Banana Republic kila mmoja anasema tu anachojisikia hata kama hakina afya.
Umekula Maharage Ya Wapi ?, By Gwajima
 
atoke kwenda wapi?
Unafikir mfano wajumbe wamkatae waziwazi unataka wauwawe ndio. Maana wakaomba apishe maana akitoka TU nje ya ukumbi wa kikao anakua MUNGU kwa KATIBA ya Sasa..wajumbe walilijua hili ndio maana wakaomba apishe kidogo.

Mjumbe kwa Nia njema kabisa akapendekeza mama apishe kidogo wamjadili...

Kwanini mama anaogopa kupitishwa kwenye chujio?
 
mkuu haujui tunaenda second term? hujui utaratibu wa chama? 2nd term kuna chujio?
Yeye alimalizia awamu ya 5 usijifanye umesahau second term gan /ipi atoe nafasi apitishwe kwenye chujio ? Kufuatana na KATIBA ya CCM inavyo sema na kuelezea
 
Back
Top Bottom