ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Alikuwa ni mgombea pekee na alidhibiti uhuru wa maoni ,Kwa Sasa uhuru mnao ila mnachesewa shere msichafue Hali ya hewa Kwa fitina.Kwahiyo Magufuli alipopisha KITI 2020 alimwachia nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa ni mgombea pekee na alidhibiti uhuru wa maoni ,Kwa Sasa uhuru mnao ila mnachesewa shere msichafue Hali ya hewa Kwa fitina.Kwahiyo Magufuli alipopisha KITI 2020 alimwachia nani?
Ndipo shida inapoanzia hayabadiliki bila kubadilisha katiba otherwise hakuna haja ya kuwepo katiba watu wawe wanafanya mambo kwa mapenzi yao. Katiba inaongoza mambo ukitaka yabadilike unaanza na katiba otherwise umeivunja.usikariri ndugu mambo yanabadilika toka shimoni huko
We utakuwa umetoroka wodi ya MilembeWaliotaka mhe raisi aachie kiti ili wao wapige kura kwanini wasishtakiwe kwa uhaini?
Napendekeza hawa wakamatwe na kuchukuliwa hatua kali zinazostahili tukianzia na mhe yule.
Haiwezekani tuwe kama Banana Republic kila mmoja anasema tu anachojisikia hata kama hakina afya.
mnachekesha sasa bandugu, magu alifanya mkaona poa tena mkamshangalia ila akifanya mama mnaanza ooh utazan mmechomwa mwiba wa moyoNdipo shida inapoanzia hayabadiliki bila kubadilisha katiba otherwise hakuna haja ya kuwepo katiba watu wawe wanafanya mambo kwa mapenzi yao. Katiba inaongoza mambo ukitaka yabadilike unaanza na katiba otherwise umeivunja.
Wapambe nuksi sana,mimi huwa nampuuza sana Kibajaji kwani mara nyingi yeye ni mtu wa mipasho na matusi lakini kwa juzi alikuwa sahihi wala hakuwa na nia mbaya ila sasa wapambe wamemuelewa vibaya,ila na yeye ajifunze kuwa huu uchawa ukizidi siyo mzuri kwani alichokuwa anafanya ni uchawa tu kama anavyofanya chawa mbobevu wa JF Lucas Mwashambwa.Jamaa aliongea kwa Nia njema kabisa Ila. Imekua uhaini.
Nimeamini WAKATI mwingine...SILENCE IS THE BEST SHIP HOME 🤐
Wewe na kibajaji wote ni machawa sasa kwa nini unamfitini chawa mwenzako huo ni uchawi kabisa.Waliotaka mhe Rais aachie kiti ili wao wapige kura kwanini wasishtakiwe kwa uhaini?
Napendekeza hawa wakamatwe na kuchukuliwa hatua kali zinazostahili tukianzia na mhe yule.
Haiwezekani tuwe kama Banana Republic kila mmoja anasema tu anachojisikia hata kama hakina afya.
Kwaio kaka kede : unaipimaje dhamira mbaya.mtu anataka kukuangusha ana nia njema gani uyo?
Hakuna na hofu Kama iliyo tanda now..in short zile video zitaenda/ zinachunguzwa kuangalia ni wajumbe wapi ambao walikua against mwenyekiti.Kwahiyo Magufuli alipopisha KITI 2020 alimwachia nani?
Magu alitoka akakaimu shein, zikapigwa ndipo akarudi...mnachekesha sasa bandugu, magu alifanya mkaona poa tena mkamshangalia ila akifanya mama mnaanza ooh utazan mmechomwa mwiba wa moyo
namm nasema washughulikiwe tu hakuna namna nyambaff kabisazinachunguzwa kuangalia ni wajumbe wapi ambao walikua against mwenyekiti.
Katika hili Magu hakuwa dikteta Bali aliyepo.Alikuwa ni mgombea pekee na alidhibiti uhuru wa maoni ,Kwa Sasa uhuru mnao ila mnachesewa shere msichafue Hali ya hewa Kwa fitina.
Hakuwa Dikteta au siyo? Kina Membe,Sofia Simba na wengine waliofukuzwa au kutishwa ilikuwa shida nini?Katika hili Magu hakuwa dikteta Bali aliyepo.
Aliapa kuvunja katiba?Aende Nje kitu amuachie nani na wakati aliapa?
kesi tena kiongozi?Mnapenda kesi nyie
Ova
Waliotaka mhe Rais aachie kiti ili wao wapige kura kwanini wasishtakiwe kwa uhaini?
Napendekeza hawa wakamatwe na kuchukuliwa hatua kali zinazostahili tukianzia na mhe yule.
Haiwezekani tuwe kama Banana Republic kila mmoja anasema tu anachojisikia hata kama hakina afya.