Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sawa kichwani au dish limeyumba kitambo🤣Waliotaka mhe raisi aachie kiti ili wao wapige kura kwanini wasishtakiwe kwa uhaini?
Napendekeza hawa wakamatwe na kuchukuliwa hatua kali zinazostahili tukianzia na mhe yule.
Haiwezekani tuwe kama Banana Republic kila mmoja anasema tu anachojisikia hata kama hakina afya.
Hivi hamuelewi sa 100 anapoongoza vikao vya Chama anasimama kama Mwenyekiti wa Chama na Siyo Rais?Waliotaka mhe raisi aachie kiti ili wao wapige kura kwanini wasishtakiwe kwa uhaini?
Napendekeza hawa wakamatwe na kuchukuliwa hatua kali zinazostahili tukianzia na mhe yule.
Haiwezekani tuwe kama Banana Republic kila mmoja anasema tu anachojisikia hata kama hakina afya.
usikariri ndugu mambo yanabadilika toka shimoni hukoWatanzania mna shida kweli. Huo ndiyo utaratibu hata kipindi cha JPM nilifuatilia mkutano kuna wakati Shein alikaimu, JPM akatoka kura zikapigwa. Ni utaratibu shida ni pale watanzania mnageuza kiti cha urais kuwa kama ni Umungu fulani hivi.
Hakuwa mahala pale kama "Rais. " alikuwa chamaniWaliotaka mhe raisi aachie kiti ili wao wapige kura kwanini wasishtakiwe kwa uhaini?
Napendekeza hawa wakamatwe na kuchukuliwa hatua kali zinazostahili tukianzia na mhe yule.
Haiwezekani tuwe kama Banana Republic kila mmoja anasema tu anachojisikia hata kama hakina afya.
Nipo siriaz kukuambia kuwa unapaswa kupata akiliWaliotaka mhe raisi aachie kiti ili wao wapige kura kwanini wasishtakiwe kwa uhaini?
Napendekeza hawa wakamatwe na kuchukuliwa hatua kali zinazostahili tukianzia na mhe yule.
Haiwezekani tuwe kama Banana Republic kila mmoja anasema tu anachojisikia hata kama hakina afya.
mtu anataka kukuangusha ana nia njema gani uyo?Jamaa aliongea kwa Nia njema kabisa
Angekuwa Muungwana angeenda nje Ili ajadiliwe!!Naunga mkono hoja,Samia ni muungwana kupitiliza.Watu wa hivyo Nchi zingine hawaachwi salama.
Aende Nje kitu amuachie nani na wakati aliapa?Angekuwa Muungwana angeenda nje Ili ajadiliwe!!
Waliotaka mhe raisi aachie kiti ili wao wapige kura kwanini wasishtakiwe kwa uhaini?
Napendekeza hawa wakamatwe na kuchukuliwa hatua kali zinazostahili tukianzia na mhe yule.
Haiwezekani tuwe kama Banana Republic kila mmoja anasema tu anachojisikia hata kama hakina afya.
Mjinga nn wewe,Aende Nje kitu amuachie nani na wakati aliapa?
Aende Nje kiti Cha Mwenyekiti amuachie nani? Wewe ndio uliitisha mkutano? Zero brainMjinga nn wewe,
Kwani Huwa analala juu ya KITI?
Na pale alikuwa ni Mwenyekiti wa chama, Kutoka nje ndio Utaratibu.
Kwahiyo Magufuli alipopisha KITI 2020 alimwachia nani?Aende Nje kiti Cha Mwenyekiti amuachie nani? Wewe ndio uliitisha mkutano? Zero brain
Hivi unajua Samia akiwa CCM ni mtu wa kawaida siyo kama akiwa Ikulu? Samia akiwa CCM ni mwenyekiti wa chama. Ndiyo maana JPM alikuwa akifanyia mikutano yake ya CCM Ikulu, kwani akiwa katika majengo hayo ni Rais (Mkuu wa Nchi na Mwenyekiti wa CCM).Waliotaka mhe raisi aachie kiti ili wao wapige kura kwanini wasishtakiwe kwa uhaini?
Napendekeza hawa wakamatwe na kuchukuliwa hatua kali zinazostahili tukianzia na mhe yule.
Haiwezekani tuwe kama Banana Republic kila mmoja anasema tu anachojisikia hata kama hakina afya.
Hujui siasa wewe!!! Unaropoka tuAende Nje kiti Cha Mwenyekiti amuachie nani? Wewe ndio uliitisha mkutano? Zero brain
Maslahi ya Nchi hayahotaji siasa za fitina na upuuzi wenu.Hujui siasa wewe!!! Unaropoka tu