Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Zaidi ya vijana 10 miongoni mwa mamia waliotelekezwa Uwanja wa Mkapa baada ya Tamasha la UVCCM lililotumbuizwa na Msanii mpya, ambaye pia ni afisa habari wa Simba Ahmed Ally, wamepita Mbozi Road wakiomba omba hela ya nauli ya kuwafikisha kwao Mwananyamala na Kawe.
Wameingia kwenye ofisi yetu na kujieleza ambako tulimuagiza Mhasibu wetu kumpa sh elfu 5 kila mmoja wao ili wafike makwao, Niliwahurumia sana vijana wale waliovishwa fulana za kijani zenye picha ya Samia, huku wakionekana kuwa na njaa (Hatukuwapiga picha kwa sababu za kibinadamu).
Tunaendelea kusisitiza kwa ccm na idara zake kwamba ni vema wanaposomba watu kuwaleta kwenye matamasha yao wakumbuke kuwarejesha makwao kwa amani.
====
Pia soma: Ni sawa CCM kutumia rasilimali za umma kwa shughuli za chama? Msajili wa Vyama vya Siasa upo tu, au na wewe ni CCM?
Wameingia kwenye ofisi yetu na kujieleza ambako tulimuagiza Mhasibu wetu kumpa sh elfu 5 kila mmoja wao ili wafike makwao, Niliwahurumia sana vijana wale waliovishwa fulana za kijani zenye picha ya Samia, huku wakionekana kuwa na njaa (Hatukuwapiga picha kwa sababu za kibinadamu).
Tunaendelea kusisitiza kwa ccm na idara zake kwamba ni vema wanaposomba watu kuwaleta kwenye matamasha yao wakumbuke kuwarejesha makwao kwa amani.
====
Pia soma: Ni sawa CCM kutumia rasilimali za umma kwa shughuli za chama? Msajili wa Vyama vya Siasa upo tu, au na wewe ni CCM?