Pre GE2025 Waliotelekezwa na UVCCM Uwanja wa Mkapa baada ya Tamasha wasaidiwa Nauli

Pre GE2025 Waliotelekezwa na UVCCM Uwanja wa Mkapa baada ya Tamasha wasaidiwa Nauli

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Zaidi ya vijana 10 miongoni mwa mamia waliotelekezwa Uwanja wa Mkapa baada ya Tamasha la UVCCM lililotumbuizwa na Msanii mpya, ambaye pia ni afisa habari wa Simba Ahmed Ally, wamepita Mbozi Road wakiomba omba hela ya nauli ya kuwafikisha kwao Mwananyamala na Kawe.

Wameingia kwenye ofisi yetu na kujieleza ambako tulimuagiza Mhasibu wetu kumpa sh elfu 5 kila mmoja wao ili wafike makwao, Niliwahurumia sana vijana wale waliovishwa fulana za kijani zenye picha ya Samia, huku wakionekana kuwa na njaa (Hatukuwapiga picha kwa sababu za kibinadamu).

Tunaendelea kusisitiza kwa ccm na idara zake kwamba ni vema wanaposomba watu kuwaleta kwenye matamasha yao wakumbuke kuwarejesha makwao kwa amani.

====

Pia soma: Ni sawa CCM kutumia rasilimali za umma kwa shughuli za chama? Msajili wa Vyama vya Siasa upo tu, au na wewe ni CCM?
Hustler
 
Zaidi ya vijana 10 miongoni mwa mamia waliotelekezwa Uwanja wa Mkapa baada ya Tamasha la UVCCM lililotumbuizwa na Msanii mpya, ambaye pia ni afisa habari wa Simba Ahmed Ally, wamepita Mbozi Road wakiomba omba hela ya nauli ya kuwafikisha kwao Mwananyamala na Kawe.

Wameingia kwenye ofisi yetu na kujieleza ambako tulimuagiza Mhasibu wetu kumpa sh elfu 5 kila mmoja wao ili wafike makwao, Niliwahurumia sana vijana wale waliovishwa fulana za kijani zenye picha ya Samia, huku wakionekana kuwa na njaa (Hatukuwapiga picha kwa sababu za kibinadamu).

Tunaendelea kusisitiza kwa ccm na idara zake kwamba ni vema wanaposomba watu kuwaleta kwenye matamasha yao wakumbuke kuwarejesha makwao kwa amani.

====

Pia soma: Ni sawa CCM kutumia rasilimali za umma kwa shughuli za chama? Msajili wa Vyama vya Siasa upo tu, au na wewe ni CCM?
CCM kuwasomba watoto wa watu bila idhini ya wazazi ni ubakaji kama ubakaji wowote. Hawa watoto ambao ni wanafunzi si mali ya CCM au mama Samia hivyo kuwschukua toka shuleni bila idhini ya ya wazazi ni ubakaji na wahusika ni lazima wawajibishwe.
 
Zaidi ya vijana 10 miongoni mwa mamia waliotelekezwa Uwanja wa Mkapa baada ya Tamasha la UVCCM lililotumbuizwa na Msanii mpya, ambaye pia ni afisa habari wa Simba Ahmed Ally, wamepita Mbozi Road wakiomba omba hela ya nauli ya kuwafikisha kwao Mwananyamala na Kawe.

Wameingia kwenye ofisi yetu na kujieleza ambako tulimuagiza Mhasibu wetu kumpa sh elfu 5 kila mmoja wao ili wafike makwao, Niliwahurumia sana vijana wale waliovishwa fulana za kijani zenye picha ya Samia, huku wakionekana kuwa na njaa (Hatukuwapiga picha kwa sababu za kibinadamu).

Tunaendelea kusisitiza kwa ccm na idara zake kwamba ni vema wanaposomba watu kuwaleta kwenye matamasha yao wakumbuke kuwarejesha makwao kwa amani.

====

Pia soma: Ni sawa CCM kutumia rasilimali za umma kwa shughuli za chama? Msajili wa Vyama vya Siasa upo tu, au na wewe ni CCM?
Niliwahi kumnyima MJOMBA wangu nauli ya kurudia kijijini baada ya kuja na kulekezwa mjini alikokuwa ameahidiwa kupewa baiskeli kutoka CCM kama katibu wao mwenezi kata huko kijijini.

HUWA SITAKI UPUUZI MIMI.
 
Mjomba ni Mama
Ndio ijapo habebi mimba lkn nilimnyima na nilifurahi alipotelekezwa bila kupewa baiskeli wala nauli. Walikuwa wananiudhi sana walipokuwa wakagawa chumvi ya 150/- ili washinde uchaguzi tena wakigawa usiku wa kuamkia uchaguzi.

Nilikuwaga mdogo lkn vitendo vya namna hii nilikuwaga nikivichukia sana.
 
Back
Top Bottom