Uache wosia kabisa usije ukawaachia kitimtim NduguHabari wadau,
Recently nimepata kimuhemuhe cha kutaka kutembelea DRC(sio kwa biashara ila ni kwa ajili ya utalii uchwara)
Nifanye road trip mpaka nitokee upande wa pili wa nchi kule kwenye bahari ya Atlantic.
Kuna mtu humu amewahi fanya hii kitu?
Experience ikoje?
Nafahamu fika kwamba Cogo sio sehemu salama sana,lakini bado natamani kujaribu culture yao kwa muda.
Naomba updates.
Asante
Usimtishe hizo ndege za kirusi unapandia dar ? Mbn akina Eng hersi anaenda sana kinshansa ?Kkkkkk. Tafuta nchi nyingine. Hakuna barabara itakayokufikisha kule ukiwa na ari na hamu ya uamuzi ambao utaujutia maisha yako yote. Ni rahisi kutoka Dar hadi Cairo mara tatu kuliko kwenda hadi Kinshasa. Hata ukitumia ndege, ni matatizo. Ndege zao nyingi za kirusi ni za zamani na zinajazwa kupita kiasi. Kusema ukweli, heri ufikirie hata kwenda Afrika Kusini hata Zimbabwe kuliko DRC. Usipoamini ushauri huu, utaukumbuka baada ya kuanza safari yako.
Msimtishe aseeUache wosia kabisa usije ukawaachia kitimtim Ndugu
Katanga ilikua jumbo now limegawanywaAhsante sana.
Vipi hapo Katanga ndio panaitwa Mbujimai Katanga anapopaimba Def Defao?
Nasikia kuna sehemu ndani ya Congo kinshasa uchawi unauzwa magengeni?
Yaani sikubali kufa bila ya kufika Congo kinshasaKatanga ilikua jumbo now limegawanywa
Katanga maarufu kwa colbat.
Mbujimaji. Ni jimbo la kasai huko kuna airport ya kananga
Mbuji mai maarufu.kwa al mas na dhahabu ni jimbo lipo kati kati
Uchawi huko Kasai nyumbani kwa Felix tshisekedi
Njoo rdc ujioneee acha story za vijiweni
hahahaahahahaYaani sikubali kufa bila ya kufika Congo kinshasa
unapopasema panaitwa Pointe noire kule, ila ukifika kinshasa tembelea Mount ngaliema hii ni sehemu ambapo kuna ikulu na pia tembelea mitaa kama gombe hii ni oysterbay ya huko, fika Nsele ukaone mji wa kisasa uliojengwa na Mobutu sese seko pia kuna National park hapo. fika pia palais du people hili ni bunge la DRCHabari wadau,
Recently nimepata kimuhemuhe cha kutaka kutembelea DRC(sio kwa biashara ila ni kwa ajili ya utalii uchwara)
Nifanye road trip mpaka nitokee upande wa pili wa nchi kule kwenye bahari ya Atlantic.
Kuna mtu humu amewahi fanya hii kitu?
Experience ikoje?
Nafahamu fika kwamba Cogo sio sehemu salama sana,lakini bado natamani kujaribu culture yao kwa muda.
Naomba updates.
Asante
mkuu, dec naweza kuja huko nitakucheki bwana kabila,nakumbuka miaka miwili iliyopita ulikana wewe sio kabila😂Katanga ilikua jumbo now limegawanywa
Katanga maarufu kwa colbat.
Mbujimaji. Ni jimbo la kasai huko kuna airport ya kananga
Mbuji mai maarufu.kwa al mas na dhahabu ni jimbo lipo kati kati
Uchawi huko Kasai nyumbani kwa Felix tshisekedi
Njoo rdc ujioneee acha story za vijiweni