Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,023
- 12,811
Dadeki,,,,,hiii kiboko...!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dadeki,,,,,hiii kiboko...!!
Wewe jamaa unapewa penati upige kisha unapaisha...!!Mkuu mimi nakumbuka nililala guest moja bukoka mjini, mida ya saa nane usiku muhudu akanigongea mlango, kabla sijafungua nikamuuliza kuna nini? Akaniambia 'hebu fungua mara moja' nikafungua akaniambia alisahau kuweka kandambili bafuni.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji106]Wewe jamaa unapewa penati upige kisha unapaisha...!!
Kaka hii kali maji kwenye ndoo na jiwe la kusugulia mguu mm niko hoi kwa [emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe jamaa unapewa penati upige kisha unapaisha...!!
HahahahahaMimi pale bugurun baada ya kulipia chumba mhudumu wa guest akaja kuniuliza kama nahitaji huduma ya mauno, nikajivuga nikamwambia aniletee Dada mdogo mdogo asiwe jimama likaniteka usiku dah dakika tano nyingi mlango ukagongwa akaingia na kadada kadogooo kananyonyesha mtoto miezi saba mpaka tisa hivi nikauliza ndo huyu? wakaitikia ndio. Sikumbuki niliwajibu nini ila niliona wanafungua mlango na kuondoka.
Haha kweli kabisa.Hahah! penati za hivyo zinalawama na unaweza ukajutia maisha yako yote, niliamua kutokuipiga kabisa
Nielekeze mtaa niende na mie nahitaji huduma hiyo brother. SeriouslyMimi pale bugurun baada ya kulipia chumba mhudumu wa guest akaja kuniuliza kama nahitaji huduma ya mauno, nikajivuga nikamwambia aniletee Dada mdogo mdogo asiwe jimama likaniteka usiku dah dakika tano nyingi mlango ukagongwa akaingia na kadada kadogooo kananyonyesha mtoto miezi saba mpaka tisa hivi nikauliza ndo huyu? wakaitikia ndio. Sikumbuki niliwajibu nini ila niliona wanafungua mlango na kuondoka.
Mkuu mtaa huo ni gest tupu! Nakumbuka kuna monjes guest house kama 4 hivi mtaa huokuna lodge ipo hapo shivers kwa nyuma inaitwaje? kama unelekea kanisani
Mimi pale bugurun baada ya kulipia chumba mhudumu wa guest akaja kuniuliza kama nahitaji huduma ya mauno, nikajivuga nikamwambia aniletee Dada mdogo mdogo asiwe jimama likaniteka usiku dah dakika tano nyingi mlango ukagongwa akaingia na kadada kadogooo kananyonyesha mtoto miezi saba mpaka tisa hivi nikauliza ndo huyu? wakaitikia ndio. Sikumbuki niliwajibu nini ila niliona wanafungua mlango na kuondoka.
Kinyaaa kipo sana, asikwambie mtu mbunye ambayo imetikiswa kwa kutwa zaidi ya mara kumiKimboka si kwa madada poa lakini? Hamsikii kinyaa mkiwalala?
Mimi cjaelewa, yaaani punga au jinsia mbili????aaaah acha tu kaka sitakuja kusahau hilo tukio... yani baada ya hapo nikaingia chimbo kuwastudy shemales yani hata aweje namgundua kwa kumcheki tu hivi.
thailand hapafai mzee
Hiyo haijanishutua sana sababu nimewahi ona nyumba fulani ina choo cha ndani lakini cha shimo kimejengwa vizuri tu kimewekewa sink jeupe acha vile vya matofali pembeni
unawajua SHEMALES kama ni mgeni nao huwezi kujua kama wana dudu hadi ulione
yani wanakuwa wamefanya plastic surgey sura inakuwa ya kike... wana matako wana matiti wana ngozi nyororo wana sauti nyembamba sema wanakuwa dudu ndion awajaondoa ila baada ya hapo niliingia deep kuwastudy shemales yani sasa hivi nawagundua kwa kuwaangalia lips na mashavu
Wazee ngoma ilinikuta Mafinga, nikasogezewa mzigoo kumbe unataka niunyweshe alafu uje kunibania papuchi weeee nikaubana nikauvua Mara paah nikakuta ameweka pedi eti baby nableed. Nikamkomalia nikamwambia nakupiga tg akanywea akatoa kumbe ameweka mitomato sosi kwenye pedi. Asubuhi eti anajidai asante Ila umenisugua vizuri. Huwa tunaweka tomato ili tukilewa wasitusumbue. Ahahahaha
Yaani sink tu hakuna cha bomba?Hiyo haijanishutua sana sababu nimewahi ona nyumba fulani ina choo cha ndani lakini cha shimo kimejengwa vizuri tu kimewekewa sink jeupe acha vile vya matofali pembeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaonekana we niziro akilini mwako unataka nikujibu nn au tubishane nn maana unaonekana unamgogoro wanafsi nawatu wa Kisiwa pendwa hivi maisha yakijijini Nani asiyeyajua ni duni iwe bara au visiwani.
Nanani aliekwambia kitanda Cha kamba ni ishara ya umaskini hata wazungu waonalala VIP Villa wanalala kwenye vitanda vya kamba wanaota jua kwenye fukwe Pendwa.
Kalale Kesho Shule