Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Binafsi niliwahi kuibiwa CARRY ambayo niliikatia BIMA kubwa na thamani ya gari niliyowekea bima ilikuwa 8M. Baada ya uchunguzi na taratibu zote kukamilika, nililipwa 7.6M. hiyo laki nne kuna jina wanaiita nimelisahau. Kuna jamaa ntamcheck then ntarudi na jina la makato hayo