Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Binafsi niliwahi kuibiwa CARRY ambayo niliikatia BIMA kubwa na thamani ya gari niliyowekea bima ilikuwa 8M. Baada ya uchukuzi na taratibu zote kukamilika, nililipqa 7.6M. hiyo laki nne kuna jina wanaiita nimelisahau. Kuna jamaa ntamcheck then ntarudi na jina la makato hayo
Ndio mkuu t940 ebfWewe ndo uliibiwa ile premio mkuu?
Dah pambania mzee bima wakulipe uvute chuma nyingineNdio mkuu t940 ebf
Daah ila haya mambo yasikie kwa mwingine omba yasikukute. Unapaki chuma afu watu wanapita nayo, tena ina siku mbili [emoji848]Dah pambania mzee bima wakulipe uvute chuma nyingine
Kweli mkuu ni masikitiko!Daah ila haya mambo yasikie kwa mwingine omba yasikukute. Unapaki chuma afu watu wanapita nayo, tena ina siku mbili [emoji848]
Kisanga.