Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo, unakumbuka sana, sehemu ulizipita, watu uliokutana naoUkirukwa na akili hautakumbuka maisha yako ya normal state.
Vivyo hivyo ukisharudi kwenye normal state hautakumbuka maisha yako kipindi akili zimekuruka.
Kunakuwa na mental boundary ambayo kama wangekuwa wanakumbuka state ya awali basi wangeweza kujirudi kwenye hali za mwanzo voluntarily.
Ndo maana kichaa akiua, siku akipona ukamuuliza hatakumbuka chochote.
Au kujamba ukiwa umejifunika shuka gubigubi🤣🤣kama uliwahi kujamba ukaweka mkono ukajinusa jua ulikuwa on the way kurukwa na ulikuwa una-reset ubongo manually in natural way.!
NB : Mimi Sijawahi.
🤣🤣🤣Ngachoka 🙄🤣🤣🤣🤣 umeelewa nini mamii?
Loh kweli humu kuna vichaa
Mkuu tulikuwa pamoja ila ulipofika Kwa atmani na ruhani ukaanza kukimbia kimsingi umeniacha nyuma.Ukirukwa na akili unakosa amani. Dini itakupa amani. Scriptures AND meditation. Siyo Scriptures peke yake.
Matatizo ya akili ni matatizo ya sahasrara chakra ambayo ndiyo the highest chakra nayo ipo in the centre of the cerebrum.
Kuhusu akili ukumbuke kwamba Mungu ni Mungu wa wote. Wewe una roho,au bora tuseme wewe una roho mbili,Atman na Brahman. Atman ni Ruhani wako,Ruhani wako na pia ni Ruhani wa watu wengine tisa au kumu, wote mna Ruhani mmoja. Brahman ni Ruhani wa kila mtu. Kwa hiyo watu wanatofautiana katika Atman tu,siyo katika Brahman.
Wamisri Atman walikuwa wanamwita "Ka". Brahman walikuwa wanamwita "Ba". Yaani wale Wamisri wa wakati wa Farao. Tazama hayo majina yanavyofanana na maneno yetu ya Kiswahili ya "Kaka" na "Baba".
Kwa hiyo,kama hauko tayari kukubali kwamba Mungu ni Mungu wa wote,yanaweza kutokea matatizo ya kurukwa na akili.
Kama vipi?Asilimia kubwa vitu tunavyovifanya tukiwa peke yetu ndo vinavyofanya wote tuwe kama tumerukwa na akili
Hizi disorder kipindi nazisoma enzi hizo chuo nilikua nachekaUnaongelea dissociative identity disorder (DID) Lakini kurukwa kwa akili kuna aina nyingi zaidi ya hiyo
Yep, I also think it's funny pamoja na Neuroscience kuwa elimu pana kuliko zote kwenye biology lakini mpaka leo tunajua vichache sana kuhusu ubongo..Yani tusivovijua ni vingi maradufu ya tunavovijuaHizi disorder kipindi nazisoma enzi hizo chuo nilikua nacheka
HakikaYep, I also think it's funny pamoja na Neuroscience kuwa elimu pana kuliko zote kwenye biology lakini mpaka leo tunajua vichache sana kuhusu ubongo..Yani tusivovijua ni vingi maradufu ya tunavovijua
Yes, Nadhani siku wakigundua wapi Consciousness inatokea kwenye ubongo ndio utakuwa mwanzo mpya wa hiyo kada....Tena Vitaungana kuwa kitu kimoja. (Neuroscience + Psychology)Hakika
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kama uliwahi kujamba ukaweka mkono ukajinusa jua ulikuwa on the way kurukwa na ulikuwa una-reset ubongo manually in natural way.!
NB : Mimi Sijawahi.