Waliowahi kutolewa majini/Mashetwani

Waliowahi kutolewa majini/Mashetwani

LaRosa

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2020
Posts
901
Reaction score
2,876
Katika maisha yangu sijawahi kuona mtu amepona na kutolewa majini akiwa fresha and comfortable na kupona kabisa na majini yasirudi tena.

Nimeona tu Kuna Namna nyingi za kutoa majini na Mashetwani.. mosi ni kwa maombi ya wachungaji au manabii wa makanisa nimeona kwenye TV wakiwashika watu na watu wakipagawa na mapepo kuikubali yanaondoka.

Pili ni kwa Tiba za kiasili lakini yote kwa yote sijawahi kukutana na mtu aliepona kabisa matatizo haya ya Mashetwani. Sasa basi Kama Kuna mtu alishawahi kupitia hili naomba uzoefu wake.

Maana nahisi Kuna kila dalili kwenye huu mwili wangu Kuna mpangaji mpya na halipi Kodi ananiburuza vibaya nahitaji nijue Kama naweza kumuonyesha mlango wa kutokea? Na Kama mna mapendekezo ya watabibu wa haya mambo nipeni link na connection zao.

Asanteni!
 
Dalili zipi hizo mkuu hebu ziweke hapa tuzichambue.
Kichwa kinauma saana upande mmoja bila kukoma na nilienda hospital kufanya medical examination lakini Daktari hakuna kitu.

Nna hasira sometimes bila hata sababu.

Mapigo ya moyo yanaenda mbio Kama yanaendeshwa na Dereva wa Dar Lux vile.

Usiku sipati usingizi Hadi alfajiri na nikiota naota mazonge matupu. Kuna siku nikiota ndoto ya kichekesho saana yaani nakimbizwa na Simba nikakimbia then ghafla nikasikia Kuna kitu kinanigusa kisogoni nikajua Simba kanikaribia si nikachukua mikono yangu na kumkamata Simba nimvute nimtupe mbele.

Kumbe ni miguu yangu ndio ilikuwa inagusa kisogo Sasa nikajikita nimeivuta miguu yangu mwenyewe. Nikaamka nikaishia kucheka tu!

Kifua kinabana Kama Kuna mtu ananibana hivi. It's hell!

Yani mahovyo hovyo tu!
 
Unaota Simba anakufukuza. Siyo mashetani. Ni mechanism ya kukuamsha. Labda ulikunywa sana kabla ya kwenda kulala.
 
Kichwa kinauma saana upande mmoja bila kukoma na nilienda hospital kufanya medical examination lakini Daktari hakuna kitu.

Nna hasira sometimes bila hata sababu.

Mapigo ya moyo yanaenda mbio Kama yanaendeshwa na Dereva wa Dar Lux vile.

Usiku sipati usingizi Hadi alfajiri na nikiota naota mazonge matupu. Kuna siku nikiota ndoto ya kichekesho saana yaani nakimbizwa na Simba nikakimbia then ghafla nikasikia Kuna kitu kinanigusa kisogoni nikajua Simba kanikaribia si nikachukua mikono yangu na kumkamata Simba nimvute nimtupe mbele.

Kumbe ni miguu yangu ndio ilikuwa inagusa kisogo Sasa nikajikita nimeivuta miguu yangu mwenyewe. Nikaamka nikaishia kucheka tu!

Kifua kinabana Kama Kuna mtu ananibana hivi. It's hell!

Yani mahovyo hovyo tu!
Dalili za mashaytwani hizo

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Kichwa kinauma saana upande mmoja bila kukoma na nilienda hospital kufanya medical examination lakini Daktari hakuna kitu.

Nna hasira sometimes bila hata sababu.

Mapigo ya moyo yanaenda mbio Kama yanaendeshwa na Dereva wa Dar Lux vile.

Usiku sipati usingizi Hadi alfajiri na nikiota naota mazonge matupu. Kuna siku nikiota ndoto ya kichekesho saana yaani nakimbizwa na Simba nikakimbia then ghafla nikasikia Kuna kitu kinanigusa kisogoni nikajua Simba kanikaribia si nikachukua mikono yangu na kumkamata Simba nimvute nimtupe mbele.

Kumbe ni miguu yangu ndio ilikuwa inagusa kisogo Sasa nikajikita nimeivuta miguu yangu mwenyewe. Nikaamka nikaishia kucheka tu!

Kifua kinabana Kama Kuna mtu ananibana hivi. It's hell!

Yani mahovyo hovyo tu!
Mpangaji anakuchezea huyo
 
Mpokee YESU KRISTO awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako!

Waganga watakutapeli hela, watakulisha hadi vinyesi kisha watakuchanja chale hadi makalioni na usipone!
 
Back
Top Bottom