Waliowahi kutolewa majini/Mashetwani

Waliowahi kutolewa majini/Mashetwani

Katika maisha yangu sijawahi kuona mtu amepona na kutolewa majini akiwa fresha and comfortable na kupona kabisa na majini yasirudi tena.

Nimeona tu Kuna Namna nyingi za kutoa majini na Mashetwani.. mosi ni kwa maombi ya wachungaji au manabii wa makanisa nimeona kwenye TV wakiwashika watu na watu wakipagawa na mapepo kuikubali yanaondoka.

Pili ni kwa Tiba za kiasili lakini yote kwa yote sijawahi kukutana na mtu aliepona kabisa matatizo haya ya Mashetwani. Sasa basi Kama Kuna mtu alishawahi kupitia hili naomba uzoefu wake.

Maana nahisi Kuna kila dalili kwenye huu mwili wangu Kuna mpangaji mpya na halipi Kodi ananiburuza vibaya nahitaji nijue Kama naweza kumuonyesha mlango wa kutokea? Na Kama mna mapendekezo ya watabibu wa haya mambo nipeni link na connection zao.

Asanteni!
Njoo nikuoneshe jamaa anaitwa SHAGIRA aliyekuwa kichaa kabisa tangu namfahamu, yaani inazidi miaka 7...leo nimemkuta Hardware ananunua PVC pipes

Kuuliza nikaambiwa aliombewa nyumbani na mchungaji akapona

Ni leo hii ninemwona
 
Kichwa kinauma saana upande mmoja bila kukoma na nilienda hospital kufanya medical examination lakini Daktari hakuna kitu.

Nna hasira sometimes bila hata sababu.

Mapigo ya moyo yanaenda mbio Kama yanaendeshwa na Dereva wa Dar Lux vile.

Usiku sipati usingizi Hadi alfajiri na nikiota naota mazonge matupu. Kuna siku nikiota ndoto ya kichekesho saana yaani nakimbizwa na Simba nikakimbia then ghafla nikasikia Kuna kitu kinanigusa kisogoni nikajua Simba kanikaribia si nikachukua mikono yangu na kumkamata Simba nimvute nimtupe mbele.

Kumbe ni miguu yangu ndio ilikuwa inagusa kisogo Sasa nikajikita nimeivuta miguu yangu mwenyewe. Nikaamka nikaishia kucheka tu!

Kifua kinabana Kama Kuna mtu ananibana hivi. It's hell!

Yani mahovyo hovyo tu!
Kwa maoni yangu naona bado una nafasi ya kuendelea kutafuta tiba hospitali, binafsi sijaona sababu ya kufanya uhisi una jini bado naona ni changamoto tu za kiafya ila kama unasisitiza kuwa una jini basi ni vyema upate mtaalamu wa kuangalia kwanza tatizo ni nini kama ni kweli jini,uchawi au ni tatizo tu la kiafya.
 
Mpokee YESU KRISTO awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako!

Waganga watakutapeli hela, watakulisha hadi vinyesi kisha watakuchanja chale hadi makalioni na usipone!
Una ushaidi? Acheni ulokole kwenye mambo ya seriously.
 
Tafuta sheikh mkuu hayo mavitu yanatoka fasta sanaa.
 
Katika maisha yangu sijawahi kuona mtu amepona na kutolewa majini akiwa fresha and comfortable na kupona kabisa na majini yasirudi tena.

Nimeona tu Kuna Namna nyingi za kutoa majini na Mashetwani.. mosi ni kwa maombi ya wachungaji au manabii wa makanisa nimeona kwenye TV wakiwashika watu na watu wakipagawa na mapepo kuikubali yanaondoka.

Pili ni kwa Tiba za kiasili lakini yote kwa yote sijawahi kukutana na mtu aliepona kabisa matatizo haya ya Mashetwani. Sasa basi Kama Kuna mtu alishawahi kupitia hili naomba uzoefu wake.

Maana nahisi Kuna kila dalili kwenye huu mwili wangu Kuna mpangaji mpya na halipi Kodi ananiburuza vibaya nahitaji nijue Kama naweza kumuonyesha mlango wa kutokea? Na Kama mna mapendekezo ya watabibu wa haya mambo nipeni link na connection zao.

Asanteni!
Imeandikwa ...mpingeni shetani naye atawakimbia...
Ukaombewe mapepo/majini hutoka kabisa nimeshuhudia mara nyingi nyingi mnoo
 
Kichwa kinauma saana upande mmoja bila kukoma na nilienda hospital kufanya medical examination lakini Daktari hakuna kitu.

Nna hasira sometimes bila hata sababu.

Mapigo ya moyo yanaenda mbio Kama yanaendeshwa na Dereva wa Dar Lux vile.

Usiku sipati usingizi Hadi alfajiri na nikiota naota mazonge matupu. Kuna siku nikiota ndoto ya kichekesho saana yaani nakimbizwa na Simba nikakimbia then ghafla nikasikia Kuna kitu kinanigusa kisogoni nikajua Simba kanikaribia si nikachukua mikono yangu na kumkamata Simba nimvute nimtupe mbele.

Kumbe ni miguu yangu ndio ilikuwa inagusa kisogo Sasa nikajikita nimeivuta miguu yangu mwenyewe. Nikaamka nikaishia kucheka tu!

Kifua kinabana Kama Kuna mtu ananibana hivi. It's hell!

Yani mahovyo hovyo tu!
You definitely need help my broda
 
Tatizo kuna wataalamu wanaongea nayo lugha moja na wanatumia kitabu kimoja

Wanafanya nayo negotiations na kuyabembeleza kwa kitu wanachokitaka na mwishowe yanatoka yake madogo lile lililokubuhu anakuambia HILI LITAKUWA LINAKULINDA

Dalili za wazi za mtu anayeishi nayo ni kitoa sauti kama anabeua au anavuta hewa kwa nguvu inagomea kwenye koo na kutoa sauti, wengi ni wanawake
 
Hivi matajiri kama Mo au Bakhressa na hata Elon Musk,wanapatwaga na hayo so called mashetani?
Hata kwenye kuombewaombewa sijawahi kuwashuhudia kwakweli.
 
Hivi matajiri kama Mo au Bakhressa na hata Elon Musk,wanapatwaga na hayo so called mashetani?
Hata kwenye kuombewaombewa sijawahi kuwashuhudia kwakweli.
Hata akipata wale wana Waganga wakubwa. Chawa wake huwapelekea wataalum nyumbani kwao.
Na ole wako akufahamu mhusika. Una tangulia mbele ukamsalimie JPM. Hivyo maadaui wa ki puuzi hawana. Wana ondolewa fastaaa.

Maskini ukiombwa mil 6 jamaa adunguliwe huna.
 
Hata akipata wale wana Waganga wakubwa. Chawa wake huwapelekea wataalum nyumbani kwao.
Na ole wako akufahamu mhusika. Una tangulia mbele ukamsalimie JPM. Hivyo maadaui wa ki puuzi hawana. Wana ondolewa fastaaa.

Maskini ukiombwa mil 6 jamaa adunguliwe huna.
Mmmh...! ntafanya utafiti nijiridhishe.
 
Hv majini yanawaogopea nn matajiri na kuwaonea masikini tu. Sijawahi sikia hizo swaga za majini kwa matajiri Wala nn
 
Katika maisha yangu sijawahi kuona mtu amepona na kutolewa majini akiwa fresha and comfortable na kupona kabisa na majini yasirudi tena.

Nimeona tu Kuna Namna nyingi za kutoa majini na Mashetwani.. mosi ni kwa maombi ya wachungaji au manabii wa makanisa nimeona kwenye TV wakiwashika watu na watu wakipagawa na mapepo kuikubali yanaondoka.

Pili ni kwa Tiba za kiasili lakini yote kwa yote sijawahi kukutana na mtu aliepona kabisa matatizo haya ya Mashetwani. Sasa basi Kama Kuna mtu alishawahi kupitia hili naomba uzoefu wake.

Maana nahisi Kuna kila dalili kwenye huu mwili wangu Kuna mpangaji mpya na halipi Kodi ananiburuza vibaya nahitaji nijue Kama naweza kumuonyesha mlango wa kutokea? Na Kama mna mapendekezo ya watabibu wa haya mambo nipeni link na connection zao.

Asanteni!

Wanatoka kabisa, kwa maombi, unaishi wqpi?
 
Hv majini yanawaogopea nn matajiri na kuwaonea masikini tu. Sijawahi sikia hizo swaga za majini kwa matajiri Wala nn
Mkuu hawa matajiri hukumbwa na kadhia hii ,hasa kwa watoto wao n.k ,lkn huwexi sikia sababu haya mambo huyafanya siri na kuyatatua kimya kimya ,tofauti na sisi waswahili mtu akiumwa tunapitisha bakuli kwa ndgu jamaa na marafiki ndomana taarifa zinazagaa ,ila kwa matajiri hufanya mambo yao kimya kimya na kwa siri hata kwa mtaalam ,au shekh au padri huwa wanakuwa na mlango wa vip ,huwakuti wakipanga foleni kama sie
 
Kichwa kinauma saana upande mmoja bila kukoma na nilienda hospital kufanya medical examination lakini Daktari hakuna kitu.

Nna hasira sometimes bila hata sababu.

Mapigo ya moyo yanaenda mbio Kama yanaendeshwa na Dereva wa Dar Lux vile.

Usiku sipati usingizi Hadi alfajiri na nikiota naota mazonge matupu. Kuna siku nikiota ndoto ya kichekesho saana yaani nakimbizwa na Simba nikakimbia then ghafla nikasikia Kuna kitu kinanigusa kisogoni nikajua Simba kanikaribia si nikachukua mikono yangu na kumkamata Simba nimvute nimtupe mbele.

Kumbe ni miguu yangu ndio ilikuwa inagusa kisogo Sasa nikajikita nimeivuta miguu yangu mwenyewe. Nikaamka nikaishia kucheka tu!

Kifua kinabana Kama Kuna mtu ananibana hivi. It's hell!

Yani mahovyo hovyo tu!
Pole Sanaa Mkuu jiandae kuwa Mtabibu
 
Hivi matajiri kama Mo au Bakhressa na hata Elon Musk,wanapatwaga na hayo so called mashetani?
Hata kwenye kuombewaombewa sijawahi kuwashuhudia kwakweli.
Matajiri huwezi kuona au kujua mambo yao mengi tu mkuu.
 
Hv majini yanawaogopea nn matajiri na kuwaonea masikini tu. Sijawahi sikia hizo swaga za majini kwa matajiri Wala nn
Tatizo ni kufikiri tajiri ni sawa na wewe na chengine vitimbi au athari za majini sio lazima ziwe za kukuingia mwilini au kupata maradhi.
 
Kichwa kinauma saana upande mmoja bila kukoma na nilienda hospital kufanya medical examination lakini Daktari hakuna kitu.

Nna hasira sometimes bila hata sababu.

Mapigo ya moyo yanaenda mbio Kama yanaendeshwa na Dereva wa Dar Lux vile.

Usiku sipati usingizi Hadi alfajiri na nikiota naota mazonge matupu. Kuna siku nikiota ndoto ya kichekesho saana yaani nakimbizwa na Simba nikakimbia then ghafla nikasikia Kuna kitu kinanigusa kisogoni nikajua Simba kanikaribia si nikachukua mikono yangu na kumkamata Simba nimvute nimtupe mbele.

Kumbe ni miguu yangu ndio ilikuwa inagusa kisogo Sasa nikajikita nimeivuta miguu yangu mwenyewe. Nikaamka nikaishia kucheka tu!

Kifua kinabana Kama Kuna mtu ananibana hivi. It's hell!

Yani mahovyo hovyo tu!
Hizo zote ni dadili za kuingiliwa katika mwili wako. Fanya hima kumpata mtumishi wa kweli wa Yesu Kristo akusaidie manake madude hayo yanatesa sana.
 
Back
Top Bottom