Waliowakandia wachezaji wa AS Vita baada ya kichapo leo wanawasifia

Waliowakandia wachezaji wa AS Vita baada ya kichapo leo wanawasifia

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Baada ya jamaa kupigwa moja pale Kinshasa na kugongwa goals 4 hapo taifa kama kawaida takataka'z zenye hasira na mafanikio ya Simba zikaja na tahmini yao zikidai kwamba AS Vita iliyopiga simba bao 5-0 ya kina makusu ndiyo ilikuwa kali.

Wakadai hiyo iliyopigwa goals 4 ilikuwa imejichokea tu cha ajabu ni kwamba hiyo AS Vita chovu ime-supply karibu wachezaji wa 5 kwa ka team fulani hivi na kwa sasa wale wachezaji wanasifiwa kwelikweli.

Karibu kwenye ulimwengu wa majuha yanayojiiita wachambuzi, jamaa fulani lenye wengewenge lilishawahi kuwaita takataka.
 
Kiranja wa takataka
FB_IMG_1629179437509.jpg
 
Back
Top Bottom