Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
Walipatapo kuvuma!
Pierre Liquid, fundi furniture wa Keko! Msanii (nikiri tu siijui sanaa yake) na pia shabiki wa Taifa Stars, mwalikwa wa ungeni, shabiki wa KISARAWE!
Kiukweli alivuma!
Alikuja!
Akabamba!
Nimemkumbuka Mariam BIRIANI!
Alipatapo kuvuma!
Nani mwingine?
Pierre Liquid, fundi furniture wa Keko! Msanii (nikiri tu siijui sanaa yake) na pia shabiki wa Taifa Stars, mwalikwa wa ungeni, shabiki wa KISARAWE!
Kiukweli alivuma!
Alikuja!
Akabamba!
Nimemkumbuka Mariam BIRIANI!
Alipatapo kuvuma!
Nani mwingine?