Walipendana hukoooo............ ila nina wajibu wa kuwaachanisha

Walipendana hukoooo............ ila nina wajibu wa kuwaachanisha

Maskini hii mitihani migumu ya maisha
hebu akae kitako na boyfriend amweleze haya maswaiba
 
Mh hii imekaa pabaya,upande mmoja si vyema kuingilia uhusiano wa mtu coz mambo yakibuma lawama zitarudi kwako ila upande mwingine its more likely huyu dada anaweza kukosa mtoto...
 
Mh hii imekaa pabaya,upande mmoja si vyema kuingilia uhusiano wa mtu coz mambo yakibuma lawama zitarudi kwako ila upande mwingine its more likely huyu dada anaweza kukosa mtoto...
hapo ndipo ilipo shughuli
 
Ushauri wangu, kama yeye Agnes angependa kuwa na mtoto, atafute mtu seriuos abebe ujauzito wako kwa vile this is her last and only chance, I have a friend, hakupahatika kupata mtoto and she was married for ten years only late kugundua mwanaume ana mtoto nje!! ilimuuma sana na mpaka leo wametengana na mwanaume ameoa and ana watot wawili, na yeye ameachwa kunywa pombe tu due to frustration!! -
 
Unawajibika kuwaachanisha? It sound kama uliwakutanisha? Acha mambo ya watu wakielewana/wakikubaliana kuishi bila mtoto utasutwa
 
Hapa mimi sikuelewi hasa dhumuni lako ni lipi. Je unataka wewe ndiyo umpe mimba? Je umeshamtafutia bf mwingine aliye tayari kumpa mimba? Wewe unayejua utamu wa mtoto, kwa sasa unao wangapi? Mbona unalekea kuingilia uhuru wa mwenzako wa kupenda?
 
Basi we ni shetani kwani wao wamekuomba iwe hivyo??????????????????
 
Merytina, kumbuka wewe siyo Mungu mpaka uwe na mawazo hayo, hivi unaweza kuongeza urefu wa nywele zako hata mm 1?
Haya sasa akimuacha huyo jamaa na akamtafuta mwingine wakazaa, bahati mbaya mtoto akafariki, utamsaidiaje apate mtoto mwingine? Na si itakuwa kishambiwa hazai tena?
Waache wajiamulie wemyewe mwache Mungu aitwe Mungu, matasa wanazaa.
 
Huyo dada msomeshe si kuwatenganishe. Huyo mwanaume ni boyfriend tu; there is a bigger chance ya kuto kumuoa kwanza ameshampita kielimu sijuhi kama ataendelea kumkumbuka.

Asikwambie mtu. Mtoto si nguo kusema utaomba mtu. Ukimkosa utalia na kusaga meno especially if you were told how to go about gettting one na ukadharau.

Na hivi ameshajua siri yake kuwa ni mwanamke ambae ni likely atakuwa mgumba, nakwambia hamuoi ng'o.
 
Home:Arusha,mama mchagga,baba mngoni.Jina Martina.



Mdada Agnes aligundulika 2010 kuwa na uambukizo unaoshambulia Anatomy ya mfumo wa uzazi.
Alichomwa sindano za kuzuia kusambaa kwa ugonjwa ila akapewa miaka miwili tu kuhakikisha anafanyiwa upasuaji utakaomzuia kubeba ujauzito maisha yote.

Boyfriend wake alifeli Bsc.Veterinary Medicine SUA mwaka wa nne, baada ya kukaa mtaani miaka miwili akajiunga Muhumbili for Bcs. Medicine na sasa yupo mwaka wa tatu.

Imebaki mwaka Agnes aondolewe kizazi na Bf wake hataki kumpa mimba eti maisha hayataenda as bado anasomeshwa na wazizi kwa hela za kusanya kwa taabu nyingi.
Ndio kwanza wawili hawa wanazidi kupendana.

Agnes anafanya kazi kiwanda cha Vyandarua kwa ujira mdogo.Hii itakuwaje baadae????

Merytina:


I dont see the point ya wewe kuwaachanisha, bcoz:
  • You yourself said Agness ana ujira mdogo, so obviously she wont be able to afford and/or take single motherhood route
  • Her time is limited . Say she does decide to leave him, how pray tell will she be able to secure a man to date, and who is willing to have a child with her within a year!!!!??
SIDE NOTE:
Lastly , Since you have taken it upon yourself to help her, kwanini usimuunganishie kwa yule uncle wako engineer!!?
 
Merytina:


I dont see the point ya wewe kuwaachanisha, bcoz:
  • You yourself said Agness ana ujira mdogo, so obviously she wont be able to afford and/or take single motherhood route
  • Her time is limited . Say she does decide to leave him, how pray tell will she be able to secure a man to date, and who is willing to have a child with her within a year!!!!??
SIDE NOTE:
Lastly , Since you have taken it upon yourself to help her, kwanini usimuunganishie kwa yule uncle wako engineer!!?

sasa Nemo ikiwa nitamuunganisha na uncle ina maana nia yangu ya kuwatenganisha KWA MAZURI IMESHATIMIA.
pili kwa uncle it will take muda mrefu kuingiliana as uncle ni mwoga.
My take:Mtoto si nguo jamani ingekuwa mimi nazaa na mtu ni mtu hata kama simjui jina
 
sasa Nemo ikiwa nitamuunganisha na uncle ina maana nia yangu ya kuwatenganisha KWA MAZURI IMESHATIMIA.
pili kwa uncle it will take muda mrefu kuingiliana as uncle ni mwoga.
My take:Mtoto si nguo jamani ingekuwa mimi nazaa na mtu ni mtu hata kama simjui jina

Merytina:
Ningekubaliana na wewe kama angekuwa na uwezo wa kumtunza huyo mtoto au familia yenye uwezo wa kumtunzia huyo mtoto. Lakini kwakuwa hana, why be selfish and bring a child in this world to suffer just so she can be called a mother?
 
Mwambie atafute mtu wa kumpa mimba wako kibao mitaani huko. Stori zingine bana aaargh.
 
Home:Arusha,mama mchagga,baba mngoni.Jina Martina.



Mdada Agnes aligundulika 2010 kuwa na uambukizo unaoshambulia Anatomy ya mfumo wa uzazi.
Alichomwa sindano za kuzuia kusambaa kwa ugonjwa ila akapewa miaka miwili tu kuhakikisha anafanyiwa upasuaji utakaomzuia kubeba ujauzito maisha yote.

Boyfriend wake alifeli Bsc.Veterinary Medicine SUA mwaka wa nne, baada ya kukaa mtaani miaka miwili akajiunga Muhumbili for Bcs. Medicine na sasa yupo mwaka wa tatu.

Imebaki mwaka Agnes aondolewe kizazi na Bf wake hataki kumpa mimba eti maisha hayataenda as bado anasomeshwa na wazizi kwa hela za kusanya kwa taabu nyingi.
Ndio kwanza wawili hawa wanazidi kupendana.

Agnes anafanya kazi kiwanda cha Vyandarua kwa ujira mdogo.Hii itakuwaje baadae????

mkuu kuhusu kufeli hapa inakujaje?
 
Back
Top Bottom