johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Huoni wanafanana!Mbowe Kasoma na sabufa kumbe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huoni wanafanana!Mbowe Kasoma na sabufa kumbe
Kumbe Mbowe na yeye kasoma...!!!Najikumbusha tu historia ya shuleni na namna watu mnavyoweza kufanana kitabia kutokana na mazingira mliyosomea.
Mbowe na Ndugai ni zao la Kibaha secondary
Lowassa na Dr Mwakyembe ni zao la Milambo secondary
Dr Slaa na Membe wao ni Itaga seminary
Polepole na Bashe zao la Benjamin Mkapa secondary
Siyo kwamba walikuwa darasa moja bali shule moja yawezekana vidato tofauti kama mimi na mzee Mgaya pale Tosamaganga secondary.
Ila katika pair zote hapo juu hii ya Mbowe na Ndugai inatuonyesha Kibaha secondary kulikuwa na ubabe ubabe sana yaani udikteta fulani hivi au unyapara nyapara.
Ni mtazamo wangu tu.
Maendeleo hayana vyama!
huo sasa ni uongo.
Unadhani alijuaje kusoma na kuandika!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alumni wangu ni Juma Lokole
Lusinde na Nkamia.... Hapa na Pale Secondary SchoolNajikumbusha tu historia ya shuleni na namna watu mnavyoweza kufanana kitabia kutokana na mazingira mliyosomea.
Mbowe na Ndugai ni zao la Kibaha secondary
Lowassa na Dr Mwakyembe ni zao la Milambo secondary
Dr Slaa na Membe wao ni Itaga seminary
Polepole na Bashe zao la Benjamin Mkapa secondary
Siyo kwamba walikuwa darasa moja bali shule moja yawezekana vidato tofauti kama mimi na mzee Mgaya pale Tosamaganga secondary.
Ila katika pair zote hapo juu hii ya Mbowe na Ndugai inatuonyesha Kibaha secondary kulikuwa na ubabe ubabe sana yaani udikteta fulani hivi au unyapara nyapara.
Ni mtazamo wangu tu.
Maendeleo hayana vyama!
Wewe unaijua Ununio sec?.....labda alihamia huko baadae lakini Bashe, Polepole na Jerry Slaa walikuwa Benjamin Mkapa!Bashe hajasoma benjamini mkapa sec. SchollView attachment 1453247
Sent using Jamii Forums mobile app
zamani hakukua na special schools, hata mzee wa msoga kasoma kibaha.Mbowe kumbe ni kichwa!! Kibaha Sekondari!! 🤔 Halafu bado kuna baadhi ya wadau wanamkejeli!!
Kama mimi Titicomb, wewe johnthebaptist , Mzee Mgaya, Marehemu Balozi Augastine Mahiga, na Zitto Kabwe pale Tosamaganga High School.Siyo kwamba walikuwa darasa moja bali shule moja yawezekana vidato tofauti kama mimi na mzee Mgaya pale Tosamaganga secondary.
ndo maana akili zao zinafanana wote watemi wote wanavunja katiba.wote walopokaji.Mbowe Kasoma na sabufa kumbe
Siasa ni kitu hatari sana.Mbowe kumbe ni kichwa!! Kibaha Sekondari!! [emoji848] Halafu bado kuna baadhi ya wadau wanamkejeli!!
Ndugai msameheni angalieni hata uso wake hauna furaha kabisaYawezekana alibadilikia Old Moshi High School. Pale alikuwa kiranja na alikuwa navihasira vya hapa na pale.
ndo maana akili zao zinafanana wote watemi wote wanavunja katiba.wote walopokaji.
tofauti tu ni kwamba ndungai ang'ang'nii madaraka kama makengeza wa chadema
Sent using Jamii Forums mobile app