Walisoma pamoja: Mbowe na Ndugai pale Kibaha, Lowassa na Dkt. Mwakyembe kule Milambo na Dkt. Slaa na Membe Itaga seminary

Walisoma pamoja: Mbowe na Ndugai pale Kibaha, Lowassa na Dkt. Mwakyembe kule Milambo na Dkt. Slaa na Membe Itaga seminary

Najikumbusha tu historia ya shuleni na namna watu mnavyoweza kufanana kitabia kutokana na mazingira mliyosomea.

Mbowe na Ndugai ni zao la Kibaha secondary

Lowassa na Dr Mwakyembe ni zao la Milambo secondary

Dr Slaa na Membe wao ni Itaga seminary

Polepole na Bashe zao la Benjamin Mkapa secondary

Siyo kwamba walikuwa darasa moja bali shule moja yawezekana vidato tofauti kama mimi na mzee Mgaya pale Tosamaganga secondary.

Ila katika pair zote hapo juu hii ya Mbowe na Ndugai inatuonyesha Kibaha secondary kulikuwa na ubabe ubabe sana yaani udikteta fulani hivi au unyapara nyapara.

Ni mtazamo wangu tu.

Maendeleo hayana vyama!
Kumbe Mbowe na yeye kasoma...!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najikumbusha tu historia ya shuleni na namna watu mnavyoweza kufanana kitabia kutokana na mazingira mliyosomea.

Mbowe na Ndugai ni zao la Kibaha secondary

Lowassa na Dr Mwakyembe ni zao la Milambo secondary

Dr Slaa na Membe wao ni Itaga seminary

Polepole na Bashe zao la Benjamin Mkapa secondary

Siyo kwamba walikuwa darasa moja bali shule moja yawezekana vidato tofauti kama mimi na mzee Mgaya pale Tosamaganga secondary.

Ila katika pair zote hapo juu hii ya Mbowe na Ndugai inatuonyesha Kibaha secondary kulikuwa na ubabe ubabe sana yaani udikteta fulani hivi au unyapara nyapara.

Ni mtazamo wangu tu.

Maendeleo hayana vyama!
Lusinde na Nkamia.... Hapa na Pale Secondary School

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bia yetu, crimea, kipara kipya, wakudadavua, karol mlapwa hawa pia wamesoma alikosoma mleta mada. Dugu moya..

Sent using iphone pro max
 
Nje ya mada: Nyerere alikuwa na PhD lakini aliendelea kuitwa mwalimu.
Mbona Magufuli anajiita Doctor?! Zamani alipokuwa ujenzi tuliambiwa ni engineer, alipokuwa akifukuza wakandarasi wa mabarabara, Leo hii ni Doctor, hivi ualimu ni mbaya kiasi hiki, mbona ma professor wanajivuna kufundisha vyuo, kwanini walimu hawajivunii kufundisha primary na secondary schools?!
Hata wasomi hawataji primary na secondary walizosoma, wanaanzia vyuo huku chini hawajapita?!
Alumni wa Primary hawapo? Vipi secondary?! High school wapo lakini huku chini siwaoni au tunasahau?!
 
Back
Top Bottom