Walivyo wajinga wamedanganywa wao ni bora kuliko Bingwa wa Super Cup USM Algers

Kupata vichekesho zaidi tembelea mitaa ya twiga na jangwani kwamba Yanga ni ya 3 kwa ubora Afrika na wakati ni miaka zaidi ya 20 haijaingia makundi Club Bingwa!
Nyie ndio mlileta dharau na kuiita timu mbovu na eti ushindi wao ni wa kubebwa
 
Chizi huwaona wenye akili ni machizi yeye ndo mzima!

Mpira umechezwa live tumeona Yanga 1 - 0 USM Algers , mechi ya pili USM Algers wameikanda Al Ahly, kwa hesabu za shule ya msingi tu Yanga ni mbabe wa USM Algers na Al Ahly ila kwa vile mwenye akili ni mmoja tu pale Msimbazi Mr Rage wengine mbumbumbu basi ni ngumu kuona!

Rekodi za Yanga zinauma sana Makolo na mwaka huu Kwa hizi 5G tunabeba Tena NBC premier league for third time! The plan is 100 unbeaten games in all tournaments!
 
WIVU WA ..KE

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Watu wengine bana.
 
We demu lini umeanza kushabikia mpira.
Soka sio kama hesabu za algebra.Ukizifanya hivyo,uwe unamkubuka na Kibu Dennis
 
Hao IFFHS ni vilaza wa kutupwa kuhusu soka, maana ligi zinatofautiana ubora, timu inaweza kuwa na rekodi nzuri sana nyumbani ila ni kwa sababu ligi yao ni dhaifu,

ubora wa timu kimataifa unatakiwa kupimwa kwa performance ya timu kwenye mechi za kimataifa, sio ligi za ndani kwa kuwa zinatofautiana ubora

.Hii ni common sense hata kwa watu ambao sio mashabiki wa soka
 

Sijui kama umeelewa, IFFHS hawaangalii mavuno ya timu bali wanachukua data ya kila mchezo timu inapocheza. Wao hawaangalii mafanikio bali wana deal na namba tu.
 
Sijui kama umeelewa, IFFHS hawaangalii mavuno ya timu bali wanachukua data ya kila mchezo timu inapocheza. Wao hawaangalii mafanikio bali wana deal na namba tu.
Ndio hivyo sasa wanatakiwa kuangalia na ubora wa mashindano yenyewe sio namba tu, ndio maana takwimu zao huwa zinapuuzwa
 
Ndio hivyo sasa wanatakiwa kuangalia na ubora wa mashindano yenyewe sio namba tu, ndio maana takwimu zao huwa zinapuuzwa
Mbona hukupuuza kipindi kile walipokua wanaiweka Simba juu
Kolo bhana
 
Mkuu kwani umesahau kuwa hao ni nyani? Kawaida nyani akisimama kwa miguu miwili naye anajiona ni sawa na binadamu. Wasamehe bure
 
#pirakibegi. Pira pu,pu,puuuuu...pu
 
Aisee kuna shida sehemu.
 
Itoshe kusema mashabiki ya Simba hayana akili!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…