Waliweza kukiwa hakuna kitu, ila tunashindwa wakati vitu vipo

Waliweza kukiwa hakuna kitu, ila tunashindwa wakati vitu vipo

samsun

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2014
Posts
7,386
Reaction score
5,965
Ndio waliweza (wazungu) kuunda vitu wakiwa hawana hata picha ya "kugerezea" lakini sisi waafrika/watz tunashindwa kuunda vitu wakati tunaweza kuunda kwa "kugerezea" vya wenzetu! hii wewe unaionaje?

Tunaishia kuripea tu, magari, simu, boti, pikipiki, tv na vitu vingine hata kuripea hatuwezi wakati vipo na tunavitumia vitu kama, Ndege, Meli, na Helkopter. Na vingine hata kutumia hatutumii tunabaki kusomesha mijitu isiyoweza kuichunguza hata dunia na anga lake, sisemi kwenda mwezini (moon) maana huko ndio tutatoa sababu 500 kidogo, lakini ukiwauliza mbona wale wazungu waliweza miaka ile wakiwa hawana hata na picha kichwani watabaki kukukodolea mimacho kama sio li profesa la mambo hayo.

Eti wandugu hebu tusaidizane hapa shida ni nini haswa?
 
Mbona wewe umejitoa? Au wewe ni mzungu? Weka mawazo yako sio kulalama tu! Hilo tatizo ni complex matrix, kuanzia mfumo wetu wa elimu, tamaduni zetu, resources na siasa zetu. Professor peke yake hawezi kwenda mwezini wala anga la karibu. Ku-copy kazi za watu ni against internal copyright laws. Kama bado unawaza kugereza basi safari bado ndefu zaidi
 
Mbona wewe umejitoa? Au wewe ni mzungu? Weka mawazo yako sio kulalama tu! Hilo tatizo ni complex matrix, kuanzia mfumo wetu wa elimu, tamaduni zetu, resources na siasa zetu. Professor peke yake hawezi kwenda mwezini wala anga la karibu. Ku-copy kazi za watu ni against internal copyright laws. Kama bado unawaza kugereza basi safari bado ndefu zaidi
Hoja kubwa jibu la kitoto kabisa
 
Hoja kubwa jibu la kitoto kabisa

Hapana ,amemkumbusha jamaa sababu na yeye kajisahau.Tuache kulaumiana ,jamaa kamjibu ukweli mtupu ndivyo tulivyo..

Changia sasa na wewe..
 
Makamu wa 4 wa rais naskia kabobea kwenye mambo ya nuclear bomb lakini elimu yake anasubiri afe nayo, kajichomeka kwenye siasa habari ikaishia hapo! Bara la Africa kiujumla bora lifutwe kwa nuclear bomb kianzishwe kizazi kipya cha watu wanaojielewa
 
Mbona wewe umejitoa? Au wewe ni mzungu? Weka mawazo yako sio kulalama tu! Hilo tatizo ni complex matrix, kuanzia mfumo wetu wa elimu, tamaduni zetu, resources na siasa zetu. Professor peke yake hawezi kwenda mwezini wala anga la karibu. Ku-copy kazi za watu ni against internal copyright laws. Kama bado unawaza kugereza basi safari bado ndefu zaidi
Kaka hujasoma thread yangu au unafanya makusudi ..........Maana kama umesoma HUSINGESEMA NIMEJITOA,wakati nimesema "LAKINI SISI WAAFRICA/WATZ TUMESHINDWA HATA KUGEREZEA" huoni kama na mimi nimejijumuhisha humo .......... Lakini pia jua mimi nipo kwenye maswala ya burudani,sipo kwenye fani za kuweza kuvumbua vitu.
 
Makamu wa 4 wa rais naskia kabobea kwenye mambo ya nuclear bomb lakini elimu yake anasubiri afe nayo, kajichomeka kwenye siasa habari ikaishia hapo! Bara la Africa kiujumla bora lifutwe kwa nuclear bomb kianzishwe kizazi kipya cha watu wanaojielewa
Ujuzi wetu nikuonyesha jinsi gani tunaweza kuvitumia,lakini sio kuvumbua vipya au kuendeleza vilivyopo.
 
Hapana ,amemkumbusha jamaa sababu na yeye kajisahau.Tuache kulaumiana ,jamaa kamjibu ukweli mtupu ndivyo tulivyo..

Changia sasa na wewe..
Inamaana na wewe hujasoma thread yangu au makusudi ......... maana kama umeisoma husingemuunga mkono ya kwamba nimejitoa. Lakini fahamu kuwa pamoja na kwamba nimejijumuhisha,ila mimi shuguli yangu sio ya kuwezesha kuunda au kuvumbua vitu vipya.
 
Dunia ya sasa vitu vimejaa vitabuni,wenzetu walishafanya tafiti za kutosha..ila sisi hata kusoma tu achilia mbali kuimplement hatutaki!!
Africa ya sasa Ni sawa na ulaya ya karne ya Saba....tusiogope tutafika
 
Nasikia India walizuia kuingiza bidhaa zote za nje kama vile baiskeli, friji, pikipiki, magari nk. Hivyo vilivyokuwepo vilipofikia mwisho wakaendelea ku-ripea na ku-ripea mpaka wakaweza kutengeneza vya kwao.
 
Africa ya sasa Ni sawa na ulaya ya karne ya Saba....tusiogope tutafika
Acha kutudanganya na ww ulaya kabla ya Renaissance yaani karne ya 14 hawakuwa na la maana lolote, unajua kwamba Timbuktu mwaka miaka ya 900 kulikuwa na chuo kikuu cha Timbuktu hata kabla ya chuo cha bologna mwaka 1200.?
 
Inamaana na wewe hujasoma thread yangu au makusudi ......... maana kama umeisoma husingemuunga mkono ya kwamba nimejitoa. Lakini fahamu kuwa pamoja na kwamba nimejijumuhisha,ila mimi shuguli yangu sio ya kuwezesha kuunda au kuvumbua vitu vipya.

Mkuu jaribu kutofautisha matumizi ya H na U.
Ahsante
 
Kwa kweli ni vitu vya kuuzi sana! sana nimekutana na wanafunzi wa SUA. walikuwa wanaelimisha watu kuhusu ufugaji wa samaki. bahati nzuri na mimi nilikuwa natoka shamba kuangalia ni miradi gani naweza fanya? nilikuwa nimepanga kufanya miradi mitatu. (1) kufuga kuku machotara (2) kufuga ngo'mbe (3) samaki! sasa nilipowaona hawa ndugu nikafuraha! nilihisi nimekutana na muujiza wangu! wskanipa kipeperushi. nilitumia kama dkk 15 kukisoma kwa makini! baada ya hapo yakaanza mwaswali. nikawauliza ujenzi wa mabwawa ni gharama sana! mwananchi wa kawaida hawezi kumudu gharama! je? vipi kama nikitumia plastic? wakasema kweli ujenzi ni gharama! pia matumizi ya plastic ni hatari sana! yanateleza sana! kuna mwanafunzi mwenzetu amekufa sua kwa sabbu ya plastic! nikawauliza sasa nyinyi mmekuja suruhisho gani? hawakunijibu! kwa kweli niliwarudishia kipeperushi chao na sikusema nao tena! mimi kwa upande wangu nimeweza kutengena mashine za kutotoresha vifaranga gharama nafuu kabisa! mashine moja inachukua mayai 1200 na ninaziuza kwa sh 600,000@ pia nimetengeneza dawa ya kutibu cocudayosisi na kuhara kwa aina zote! nina ndoto ya kuanzisha kampuni yangu! naamini Mungu atanisaidia!
 
Kwa kweli ni vitu vya kuuzi sana! sana nimekutana na wanafunzi wa SUA. walikuwa wanaelimisha watu kuhusu ufugaji wa samaki. bahati nzuri na mimi nilikuwa natoka shamba kuangalia ni miradi gani naweza fanya? nilikuwa nimepanga kufanya miradi mitatu. (1) kufuga kuku machotara (2) kufuga ngo'mbe (3) samaki! sasa nilipowaona hawa ndugu nikafuraha! nilihisi nimekutana na muujiza wangu! wskanipa kipeperushi. nilitumia kama dkk 15 kukisoma kwa makini! baada ya hapo yakaanza mwaswali. nikawauliza ujenzi wa mabwawa ni gharama sana! mwananchi wa kawaida hawezi kumudu gharama! je? vipi kama nikitumia plastic? wakasema kweli ujenzi ni gharama! pia matumizi ya plastic ni hatari sana! yanateleza sana! kuna mwanafunzi mwenzetu amekufa sua kwa sabbu ya plastic! nikawauliza sasa nyinyi mmekuja suruhisho gani? hawakunijibu! kwa kweli niliwarudishia kipeperushi chao na sikusema nao tena! mimi kwa upande wangu nimeweza kutengena mashine za kutotoresha vifaranga gharama nafuu kabisa! mashine moja inachukua mayai 1200 na ninaziuza kwa sh 600,000@ pia nimetengeneza dawa ya kutibu cocudayosisi na kuhara kwa aina zote! nina ndoto ya kuanzisha kampuni yangu! naamini Mungu atanisaidia!
Safi sana mkuu,hiyo ndio maana ya kupata elimi na ukaelimika. Natumai utakitangaza kifaa chako ili kiwafikie wengi ili wanufaike na wajue kuwa kuna kifaa kimetengenezwa kwa kuendelezwa na mtz mwenzetu.
 
Mkuu jaribu kutofautisha matumizi ya H na U.
Ahsante
Mkuu mbona nimetofautisha........H = ni kama kikanusho >>huna,hana,haji,hajui n.k. Hebu rudi kwenye darasa la kiswahili.
 
Asante sana ndugu Samsan! mwakani mwezi wa nane nitaingianacho kwenye msonyosho.
 
Back
Top Bottom