Asalaam al-yhikum jamii!!!-Usiulize::lol:
Hivi kunaukweli kwamba wanaume wapatapo kibrudisho cha nje hukuta anaelemewa nakupoteza mwelekeo nakukuta kiburudisho kinakuwa na nguvu kuliko wife??
Kiasi kinaweza kikasema kitu kikatekelezwa chapchap!!lakini wife akisema anapuuza!!Naje nikwanini kipaumbele kiende kwakiburudisho na siyo wife??:A S confused:
Asalaam al-yhikum jamii!!!-Usiulize::lol:
Hivi kunaukweli kwamba wanaume wapatapo kibrudisho cha nje hukuta anaelemewa nakupoteza mwelekeo nakukuta kiburudisho kinakuwa na nguvu kuliko wife??
Kiasi kinaweza kikasema kitu kikatekelezwa chapchap!!lakini wife akisema anapuuza!!Naje nikwanini kipaumbele kiende kwakiburudisho na siyo wife??:A S confused:
nitakuja kufafanua baadae hapa pazito kidogoAsalaam al-yhikum jamii!!!-Usiulize::lol:
Hivi kunaukweli kwamba wanaume wapatapo kibrudisho cha nje hukuta anaelemewa nakupoteza mwelekeo nakukuta kiburudisho kinakuwa na nguvu kuliko wife??
Kiasi kinaweza kikasema kitu kikatekelezwa chapchap!!lakini wife akisema anapuuza!!Naje nikwanini kipaumbele kiende kwakiburudisho na siyo wife??:A S confused:
Nakubaliana na wewe kwa asilimia mia.Ni shetani....wala hamna lolote