KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,794
- 9,075
Asalaam al-yhikum jamii!!!-Usiulize::lol:
Hivi kunaukweli kwamba wanaume wapatapo kibrudisho cha nje hukuta anaelemewa nakupoteza mwelekeo nakukuta kiburudisho kinakuwa na nguvu kuliko wife??
Kiasi kinaweza kikasema kitu kikatekelezwa chapchap!!lakini wife akisema anapuuza!!Naje nikwanini kipaumbele kiende kwakiburudisho na siyo wife??:A S confused:
Hivi kunaukweli kwamba wanaume wapatapo kibrudisho cha nje hukuta anaelemewa nakupoteza mwelekeo nakukuta kiburudisho kinakuwa na nguvu kuliko wife??
Kiasi kinaweza kikasema kitu kikatekelezwa chapchap!!lakini wife akisema anapuuza!!Naje nikwanini kipaumbele kiende kwakiburudisho na siyo wife??:A S confused: