Wallace Karia achana na Makonda anakupoteza

Wallace Karia achana na Makonda anakupoteza

Pima mafanikio yako ndani ya TFF kwa muda ambao umekaa hapo TFF. Makonda anakupotosha vitu vingi sana kwa kutaka UKUU WA KILA JAMBO. Mifano mingi ipo... hana jambo ambalo aliweza kulifanikisha yeye na likawa usipomuepuka UTAISHIA KICHAKANI NA SOKA LITATOWEKA KABISA TANZANIA.

Ushindi wa TAIFA STARS kwenda AFCON haukusababishwa na Makonda hata kidogo bali ni watu walipoungana na kuwa kitu kimoja kama taifa. Aliwatumia watu mbalimbali na wakajitoa kweli matokeo yale waliofanikisha akaanza kuwaponda mfano KONKI LIQUID.. Aliwatosa waliojitoa na kupeleka maswahiba zake IKULU na kuwaacha waliojitoa wakiiona IKULU Kupitia Azam TV haya sasa VIJANA WETU WA UNDER 17 KWAHERI tena ndani ya ARDHI YETU hii ni fedheha. Hivi tulijiandaa kwa haya matokeo, ndio maana tukajigawa vilabu nendeni kwenye michezo yenu ya ligi Kuu na watoto sijui tulimwachia nani??

Badala ya kuunganisha nguvu tukapigana kama Taifa tukaamua kujigawa.
Yanga Mtibwa Morogoro,
Coast na Simba Tanga,
Ndanda na Azam Mtwara.
Na wengine wakatawanywa hivyo hivyo. Tusimtafute mchawi tumejipiga kisu wenyewe. Kisu cha kwanza kilikuwa ni kumuondoa Kim Pousen huku tukijua kabisa tuna host haya mashindano.

Tujitathimini sisi wakubwa ndio tume waangusha Hawa vijana. Hawana majibu ya kutupa sisi ila sisi ndio tunatakiwa kuwa tathimini sahihi hawa vijana ili waweze kuendelea kuamini kuwa wao ni wapiganaji sahihi Wa Taifa hili.

Katika mfumo wa elimu tunasema "there is no poor student but there is always a poor teacher"

AFCON inaanza hata Mabango kwenye maeneo ya kuingia Nchini kama Uwanja wa Ndege Hakuna??

WALLACE KARIA UNAUA SOKA LETU
Uongozi wa Karia ndio uongozi ambao umeleta mafanikio makubwa ya soka ktk Tanzania.
Hutaki acha, ataendelea kumshirikisha mhamasishaji namba moja wa taifa, Mr. Paul Makonda.
 
Pima mafanikio yako ndani ya TFF kwa muda ambao umekaa hapo TFF. Makonda anakupotosha vitu vingi sana kwa kutaka UKUU WA KILA JAMBO. Mifano mingi ipo... hana jambo ambalo aliweza kulifanikisha yeye na likawa usipomuepuka UTAISHIA KICHAKANI NA SOKA LITATOWEKA KABISA TANZANIA.

Ushindi wa TAIFA STARS kwenda AFCON haukusababishwa na Makonda hata kidogo bali ni watu walipoungana na kuwa kitu kimoja kama taifa. Aliwatumia watu mbalimbali na wakajitoa kweli matokeo yale waliofanikisha akaanza kuwaponda mfano KONKI LIQUID.. Aliwatosa waliojitoa na kupeleka maswahiba zake IKULU na kuwaacha waliojitoa wakiiona IKULU Kupitia Azam TV haya sasa VIJANA WETU WA UNDER 17 KWAHERI tena ndani ya ARDHI YETU hii ni fedheha. Hivi tulijiandaa kwa haya matokeo, ndio maana tukajigawa vilabu nendeni kwenye michezo yenu ya ligi Kuu na watoto sijui tulimwachia nani??

Badala ya kuunganisha nguvu tukapigana kama Taifa tukaamua kujigawa.
Yanga Mtibwa Morogoro,
Coast na Simba Tanga,
Ndanda na Azam Mtwara.
Na wengine wakatawanywa hivyo hivyo. Tusimtafute mchawi tumejipiga kisu wenyewe. Kisu cha kwanza kilikuwa ni kumuondoa Kim Pousen huku tukijua kabisa tuna host haya mashindano.

Tujitathimini sisi wakubwa ndio tume waangusha Hawa vijana. Hawana majibu ya kutupa sisi ila sisi ndio tunatakiwa kuwa tathimini sahihi hawa vijana ili waweze kuendelea kuamini kuwa wao ni wapiganaji sahihi Wa Taifa hili.

Katika mfumo wa elimu tunasema "there is no poor student but there is always a poor teacher"

AFCON inaanza hata Mabango kwenye maeneo ya kuingia Nchini kama Uwanja wa Ndege Hakuna??

WALLACE KARIA UNAUA SOKA LETU
Naona unawaza kwa kutumia pua aisee..

Karia ndio wanacheza mpira?? Unataka kutuaminisha hapa kuwa TFF haikuwekeza vya kutosha kwenye timu hii??

Hivi unajua hawa madogo wamekuwa pamoja all most miaka minne iliyopita..malinzi aliwakusanya toka mikoa yote tz akawapeleka pale mwanza kwenye kituo cha alliance academy..baada ya kufikisha miaka kumina sita wakaletwa pale karume kwenye hostel za TFF.

Wamepewa kila kitu wanachostahili wachezaji kupata..wamepelkwa camp ulaya ..wanacheza mechi za kirafiki na timu kubwa tu zenye ushindani..

Wamepelkwa camp Rwanda wanacheza mashindano maalumu..wakawafunga hadi Cameroon..ulitaka wafanywaje tena??

Tunachokuona kwa hao madogo ndio tabia halisi ya watanzania..tabia ya kuridhika mapema na kujiamini kupita kiasi...

Madogo baada ya kukichafua kule Rwanda na kubeba ubingwa wakajipa matumaini hewa kuwa hata afcon ni laini ...

Usisahau hawa pia ndio mabingwa wa challenji ya mwaka juzi nchini Rwanda ...
.
Madogo walivimba kichwa sana..na kibaya zaidi ile ahadi ya milioni 20 na magari ndio ukazidi kuwaover kujihamini na kujiondoa ile hali ya tahadhari..

Madogo walijua watakutana na Nigeria mchekea..na ukitaka kyamini nachosema..tazama game na Nigeria madogo walikuwa wanakila sababu ya kushinda lakini tazama kilichotokea...

So Mimi simlaumu karia hata kidogo..Mzee wa watu kajitahid mnno katika kuhakisha timu inafanya vyema lakini shida inakuja kwa hao wachezaji wenyewe..badala ya wao kucheza wanaingia uwanjani wakiwa na mawazo ya milioni 20 na gari...wenzao wanaingia uwanjani wakiwa na mawazo ya kwenda Brazil Keene kombe LA dunia LA vijana.

Kweli kutompa Kim nafasi kumechangia ila sidhani kama ni kwa kiasi kikubwa..maana wachezaji aliowaacha ni hao hao toka mwaka juzi hawajabadilishwa zaidi ya kuongezwa wawili hivi..

Ukitaka tuelewane katika malalamiko uje na hoja ya kwa nini TFF wakati ikijua fika nnchi za nnje huko tunavijana wazuri na ambao wangeweza kutusaidi kwa nini hawajaitwa kuja kuichezea timu hii..wakaamua kuchukua hawa ambao wamelelewa kihuni mitaani??

Tunawaxhezahi wengi vijana Qatar Kyle..tunao wengi pale Senegal..wengine afrika kusini..wengine guinea kwenye accadmy ya horari achia mbali ambao tunao wengine wengi kwenyw accadmy mbalimbali za ulaya na marekani...

Wenzetu Nigeria katika kikosi chao wanamchezaji anatoka Chelsea academy na wengine wanatoka kwenye academy za ulaya huko...

Ukja na hoja hiyo nitakuamini kuwa tuliboronga katika upande huo..lakini pia nayo inaweza isiwe sababh ha maana sana.

Maana hao madogo wangekuwa wajua umuhimu wa michuano hii walaa wasingekubali kucheza makida na marede uwanjani..hii michuano ni makubwa sana Ila ndio hivyo wao wakawa wanwaza milioni 20 na gari toka kwa mengi waksahau jukumh lao LA msingi.

Mambo ni mengi..na mengi yasiwe mambo
 
Kwanza, Karia anajua uraia wake una utata. Bashite kwa kujua hilo, ametake advantage kujiingiza TFF apate kiki.
Karia anachojua ni kujipendekeza.

Hivi ktk historia ya mpira Tanzania huyo Karia ametokea wapi na kafanya nini huko nyuma mpaka aongoze taasisi ya mpira Tanzania? na Makonda ana background gani ktk soka hapa Tanzania mpaka apewe majukumu ambayo ni too technical kuweza kumudu ili kuwe na positive result?
 
Kwasababu hutajawekeza hatuwezi fanikiwa.......
Ata Karia angefanya vyema kiasi gani matokeo tungeyaona miaka mitatu mbele labda.....
Kama tungekuwa tumewekeza hata mashabiki wasipoingia uwanjani tungeshinda tu.......tunategemea nguvu ya mashabiki sababu hakuna uwekezaji wa maana uliofanyika....hii inatoka kwenye vilabu team b ni za kuokotana....hakuna mipango maalumu.......Tumshukuru malinzi hata kwa hawa madogo japo ana mabaya mengi......yeye ndo aliwapeleka alliance nafikiri...
Kwakuwa hatujawekeza lazima mpira uchezwe mdomoni na kina makonda hakuna cha kulaumu.
 
Pima mafanikio yako ndani ya TFF kwa muda ambao umekaa hapo TFF. Makonda anakupotosha vitu vingi sana kwa kutaka UKUU WA KILA JAMBO. Mifano mingi ipo... hana jambo ambalo aliweza kulifanikisha yeye na likawa usipomuepuka UTAISHIA KICHAKANI NA SOKA LITATOWEKA KABISA TANZANIA.

Ushindi wa TAIFA STARS kwenda AFCON haukusababishwa na Makonda hata kidogo bali ni watu walipoungana na kuwa kitu kimoja kama taifa. Aliwatumia watu mbalimbali na wakajitoa kweli matokeo yale waliofanikisha akaanza kuwaponda mfano KONKI LIQUID.. Aliwatosa waliojitoa na kupeleka maswahiba zake IKULU na kuwaacha waliojitoa wakiiona IKULU Kupitia Azam TV haya sasa VIJANA WETU WA UNDER 17 KWAHERI tena ndani ya ARDHI YETU hii ni fedheha. Hivi tulijiandaa kwa haya matokeo, ndio maana tukajigawa vilabu nendeni kwenye michezo yenu ya ligi Kuu na watoto sijui tulimwachia nani??

Badala ya kuunganisha nguvu tukapigana kama Taifa tukaamua kujigawa.
Yanga Mtibwa Morogoro,
Coast na Simba Tanga,
Ndanda na Azam Mtwara.
Na wengine wakatawanywa hivyo hivyo. Tusimtafute mchawi tumejipiga kisu wenyewe. Kisu cha kwanza kilikuwa ni kumuondoa Kim Pousen huku tukijua kabisa tuna host haya mashindano.

Tujitathimini sisi wakubwa ndio tume waangusha Hawa vijana. Hawana majibu ya kutupa sisi ila sisi ndio tunatakiwa kuwa tathimini sahihi hawa vijana ili waweze kuendelea kuamini kuwa wao ni wapiganaji sahihi Wa Taifa hili.

Katika mfumo wa elimu tunasema "there is no poor student but there is always a poor teacher"

AFCON inaanza hata Mabango kwenye maeneo ya kuingia Nchini kama Uwanja wa Ndege Hakuna??

WALLACE KARIA UNAUA SOKA LETU
Kwa Kifupi Serengeti boy imefanya Vibaya kutokana na Ahadi za wanasiasa. Mpira na siasa Ni vitu 2 tofauti.
 
Kwa hiyo bila ya huyo bashite ila mkiwa na poor preparation ulitegemea nafasi gani ktk tournament?
You are not getting the point. Before involving Bashite, the situation is already chaotic. To make matters worse, you involve Bashite. What do you expect?
 
Kila nikiona Makonda anaongea kuhusu mpira huwa najisikia kichefuchefu.....maana utumbo mtupu

Kuhusu Serengeti boys tumefungwa ni laana tu ya Mungu maana watoto wazuri wameachujwa kisa hawana vimemo vya Baba zao wakulima,wametuletea wale vimeo......inafurahisha sana hivi vipigo.

Tukitaka Kufanikiwa Tz achana na local coaches,ni maboya tu hawana weledi
 
Kila nikiona Makonda anaongea kuhusu mpira huwa najisikia kichefuchefu.....maana utumbo mtupu

Kuhusu Serengeti boys tumefungwa ni laana tu ya Mungu maana watoto wazuri wameachujwa kisa hawana vimemo vya Baba zao wakulima,wametuletea wale vimeo......inafurahisha sana hivi vipigo.

Tukitaka Kufanikiwa Tz achana na local coaches,ni maboya tu hawana weledi
Ili Tufanikiwa ni kuwachukua Manyoka wa mtaani ambao hawana mbele wala Nyuma sio mboga 7 hawa
 
Back
Top Bottom