Wallace Karia amegeuza timu ya Taifa ya kwake na washikaji wake. Ingawa kafanya makubwa ushikaji utamgharimu

Karia hawezi kuomgoza soka la Tanzania , riadha ilikufa kwa sababu ya viongozi wabovu wabinafsi na taifa stars inakufa huku tunaiona .
 
Kufanikiwa ni kuwekeza , Tff Walete benchi la ufundi lenye uwezo mambo ya kubahatisha na mazoea hayaleti faida.
Wachezaji wanaweza kuwa wazuri benchi likashindwa kuwatumia ikiwemo mfumo mbovu .
Jana tumeona
 
Kitambo tuliwaambia huyo Wallace Karia ni ๐Ÿšฎ ila hamkutuelewa. Imagine huyo Hemed Morocco uwezo wake ni kufundisha timu za madaraja ya kati! Eti anapewa hadhi ya kufundisha timu ya Taifa! Kwa CV ipi?
 
Kitambo tuliwaambia huyo Wallace Karia ni ๐Ÿšฎ ila hamkutuelewa. Imagine huyo Hemed Morocco uwezo wake ni kufundisha timu za madaraja ya kati! Eti anapewa hadhi ya kufundisha timu ya Taifa! Kwa CV ipi?
kachukua kikundi chake cha simba failures kawaweka timu ya Taifa.

morocco ligi kuu APATI TIMU, hana uwezo huo.

karia ni muhuni. huyu wakufukuzwa mapema sana.
 
Ulisema vyema kabisa.
 
kachukua kikundi chake cha simba failures kawaweka timu ya Taifa.

morocco ligi kuu APATI TIMU, hana uwezo huo.

karia ni muhuni. huyu wakufukuzwa mapema sana.
Na pale Karume kawajaza Simba watupu. Kidau, Ndimbo et al.
 
Eti coach ni moroco na mgunda ๐Ÿ’ฉ๐Ÿ’ฉ๐Ÿ’ฉ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ