Wallace Karia: Hela za viingilio za mashahiki zipo salama na hakuna atakaedhulumiwa

Wallace Karia: Hela za viingilio za mashahiki zipo salama na hakuna atakaedhulumiwa

homeless1

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2020
Posts
427
Reaction score
950
Rais wa shirikisho la soka Tanzania TFF Wallace karia amesema kuna taarifa itatolewa, hio ndio itaeleza Kila kitu juu ya mechi ya Simba dhidi ya Yanga kusogezwa mbele hadi kuahirishwa, lakini kwa sasa hata yeye hajui nini kilitokea.

Karia amesema kuhusu hela za viingilio za mashahiki, zipo salama na hakuna atakaedhurumiwa.

Aidha amesema hela haziko TFF zipo serikalini, kwa kua zinakusanywa kwa mfumo wa serikali wa N Card, huko ziliko ziko kwenye mikono salama katika mfumo wa kielektroniki na kila alielipia kiingilio hatadhulumiwa kwa kua mfumo wa N Card unarekodi.
 
Hakuna alokua tayari kubeba lawama

Bodi ya ligi wanadai TFF waliwapa taarifa na ni wajibu wao kufata maelezo toka TFF ,CAF na FIFA


TFF wanadai bodi ya ligi itoe maelezo


Serikali haijui nini kilitokea


Karia nae anasema hajui nin kilitokea


Mashabiki nasisi hatujui nini kilitokea na sababu gani ilipelekea kuwa vile


Mwaka huu mpaka unaisha tutaona mengi
Hata serekali nao wanasema hawajui kilichotokea
 
Back
Top Bottom