Wallace Karia: Kuna ma-Tundu Lissu wa kwenye mpira

Teh teh 🎶🎵 teh teh 🤣🤣 🤣 inawezekana hiyo pesa haikuingia TFF mkuu, labda zimeliwa na zile kamati uchwara za ushindi.
BASHITE na masshosti zake huwa wanaongozaga hizo kamati
 
Yote hiyo kujipendekeza tu kwa mfalme..
Atutolee utopolo wake ktk soka
 
Huyu msomali ni bogus kabisa, kule kwao Somalia watu kutoka Tanzania hawawezi kupewa cheo kama hicho alichopewa hapa. Bure kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…