Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna Vipaji vyovyote inavyoibua,wachezaji wengi ni wa Ligi Kuu na Daraja la kwanza. Nitajie wachezaji wa Ndondo Cup wanaocheza Ligi Kuu.Hapa amekwama kwa kweli mashindano kama yale ya uhai Cup yalitoa vipaji kibao Kabla hayajafa,
Kwa sasa hii ndondo ni muhimu Sana kama tunataka vipaji vilivyopo mtaani.
nado unajua alitokea wapiHakuna Vipaji vyovyote inavyoibua,wachezaji wengi ni wa Ligi Kuu na Daraja la kwanza. Nitajie wachezaji wa Ndondo Cup wanaocheza Ligi Kuu.
Mkuu nitajie wachezaji 5 walioibuliwa toka uhai cupHapa amekwama kwa kweli mashindano kama yale ya uhai Cup yalitoa vipaji kibao Kabla hayajafa,
Kwa sasa hii ndondo ni muhimu Sana kama tunataka vipaji vilivyopo mtaani.
Naomba majina ya hao wachezaji kibao walioibuliwa na ndondo cup nitajie watano tu mkuuHana akili huyo msomali ndondo cup imetoa wachezaji kibao wanafanya vizuri ligi kuu akiwemo idi nado wa azam sasa yeye anaangalia upande mmoja tu.
Gerald Mdamu,idi Nado ,Lucas Kikoti ,kuna yule mfungaji bora msimu ulioisha na wenzake watatu wameenda Geita goldNaomba majina ya hao wachezaji kibao walioibuliwa na ndondo cup nitajie watano tu mkuu
Unaongea usichokifahamuHakuna Vipaji vyovyote inavyoibua,wachezaji wengi ni wa Ligi Kuu na Daraja la kwanza. Nitajie wachezaji wa Ndondo Cup wanaocheza Ligi Kuu.
Mikoa ambayo haina ndondo cup vipi ligi zake zinabamba?Rais wa TFF, Wallace Karia amesema ligi za Mkoa wa Dar Es Salaam zimekosa mvuto na umaarufu kwasababu ya michuano ya Ndondo Cup ya Clouds Fm.
Pia akaenda mbali zaidi kwa kusema, Ndondo Cup zinatuharibia wachezaji wa ligi kuu kwani wengi huumia wakiwa wanacjeza huko kwenye viwanja vibovu.
Sasa tutaanza kuwa wakali dhidi ya Ndondo Cup.
My take:
Karia baada ya kumfungia Dauda naona vita bado inaendelea, je Karia ataweza kuibuka na ushindi dhidi ya Dauda na Clouds Fm kwa ujumla? Yapi maoni yako?
View attachment 2137557
Shafii mwenyewe kwenye uchaguzHapa mtu anatafutwa apigwe ban nyingine kilichomfanya ahoji mkataba wa Jiesiemu na Tiefef, mwaka huu atakula jeuri yake.
Nakumbuka kama aliwahi kupongeza hayo mashindano na waandaji wake leo imekuaje tena!!
bila shakaana beef na shafii dauda?.