Halafu Tifuatifua kaifanya kama mali yake binafsi.Tukubali tu ukweli! TFF haina rais! Badala yake ina kituko kinachoitwa Wallace Karia.
Hajambo Mzee Makamba senior"Mimi wala sio Mwanachama wa Simba mimi ni Mwanachama wa Coastal Union,
Kwani yeye kuwa mwanachama wa Simba kuna tatizo ?
Mbona anashangilia?
[emoji38][emoji38]hata mimi sio mwanachama wa Yanga, ni mwanachama wa Toto Africa.
Hata mi nashangaa aiseeKwani yeye kuwa mwanachama wa Simba kuna tatizo ?