Afisa Tabibu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 511
- 848
- Thread starter
-
- #21
Una ushahid wa haya mkuu? Au ndo unafuata tu mkumbo? Vp mazuri yakeNdiye Rais aliyeongoza kumfungia yoyote anayaemkosoa, ndiye Rais aliyewaondoa washindani wake apite bila kupingwa kwenye uchaguzi
Tenga amefanya nin kumzid Wallace? Tufanye comparison wa ligi yetu kipindi cha Tenga na Wallace..Hakuna mtu hapo. Rais wa ukweli wa TFF atabakia daima kuwa Leodgar Chilla Tenga. Na siyo hao wanasiasa maslahi wa kulea vitambi tu.
😂😂😂 Hivi kweli Ile akili waliipata wapi ? Yaani mchezaji wa timu ya taifa ukamtafute vijijini 😂😂😂Uto watakwambia ni Jamal Malinzi aliekwenda mtaani kukusanya wachezaji ili kuunda timu ya taifa. Uto ni uto tu.
Aaaaaah!!! Kwamba hujui Karia anaibebaje Simba. Najua unajua ila hutaki tu. Hata juzi dhidi ya Singida ni dhahiri refa alipewa maelekezo na ukitaka kuamini subiri kama kuna hatua itakayochukuliwa kwake.Acha mihemuko naamin una elimu nzuri, usifuate mkumbo hebu tulia na tumia akili yako, simba imebebwaje na Karia?
Wewe fanya tu hiyo comparison kwa wakati wako. Ila mimi nitaendelea kumtambua Leodgar Tenga kama rais bora kabisa wa TFF kuwahi kutokea mpaka sasa.Tenga amefanya nin kumzid Wallace? Tufanye comparison wa ligi yetu kipindi cha Tenga na Wallace..
Ama kweli shukurani za punda ni mateke. Karia huyu aliyeibeba Yanga kwa kumfanya GSM kuwa mdhamini mwenza wa ligi kuu huku akiidhamini Yanga ili tu Yanga angalau iambulie ubingwa baada miaka minne kupita leo mnamsimanga?Aaaaaah!!! Kwamba hujui Karia anaibebaje Simba. Najua unajua ila hutaki tu. Hata juzi dhidi ya Singida ni dhahiri refa alipewa maelekezo na ukitaka kuamini subiri kama kuna hatua itakayochukuliwa kwake.
Au isije wewe ni Karia !!!
Naheshimu mawazo yako mkuu, yatabaki kuwa mawazo yako na sio hali halisi.Wewe fanya tu hiyo comparison kwa wakati wako. Ila mimi nitaendelea kumtambua Leodgar Tenga kama rais bora kabisa wa TFF kuwahi kutokea mpaka sasa.
Na hata hapa nilipo, natamani kuona wakati mwingine TFF inaongozwa na wachezaji wastaafu, na siyo hawa wanasiasa mamluki kutoka CCM.
Haaahaaa!!!! Haaahaaa!!!! Kwamba Karia ndio kampeleka GSM YangaAma kweli shukurani za punda ni mateke. Karia huyu aliyeibeba Yanga kwa kumfanya GSM kuwa mdhamini mwenza wa ligi kuu huku akiidhamini Yanga ili tu Yanga angalau iambulie ubingwa baada miaka minne kupita leo mnamsimanga?
Lakini kuna mapungufu ya kizembe ya waamuzi wala hayahitaji yeye kuyasimami ambayo ndiyo msingi wa haki ya mchezo kupata matokeo sitahikiView attachment 2715133
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Karia ndo Rais bora zaid wa TFF kuwahi kutokea, ubora unapimwa na mafanikio, hakuna Rais wa TFF anayefikia mafanikio ya Karia.
Kuanzia thamani ya ligi kwasasa, mafanikio ya Vilabu na Timu za Taifa katika mashindano mbalimbali, hapa nazungumzia timu za Taifa zote, vijana, wanawake, walemavu na hii Taifa Stars, Ushabiki wa soka katika nchi umekua sana, thamani na maslahi ya wachezaji hasa wazawa ambao walikuwa hawana thaman, miundombinu kama viwanja na kadhalika.
Mapungufu hayakosekani, lakini huyu mzee ana mazuri mengi kuliko mapungufu, apewe maua yake.
Tenga aliingia TFF mwaka 2004, alibadilisha sana Ligi yetu, udhamini, na kila kitu, yy ndio alifanya hata TAIFA STARS ikubalike na Jamii. Tenga ndio alifanya hata wadhamini waanze kujaa kwenye Ligi kuu na hata Taifa Stars, Serengeti Boys nk.Sio kweli, ukiona mambo yanaenda popote ujue kiongoz wa juu ni mwajibikaji. Tuache unafiki pemben jamaa amefanya makubwa. Utaona siku akiondoka
Alivyotoka Tenga si walikuwepo akina Malinzi, walifanya nin?Tenga aliingia TFF mwaka 2004, alibadilisha sana Ligi yetu, udhamini, na kila kitu, yy ndio alifanya hata TAIFA STARS ikubalike na Jamii. Tenga ndio alifanya hata wadhamini waanze kujaa kwenye Ligi kuu na hata Taifa Stars, Serengeti Boys nk.
Ligi ilikuwa yenye ushindani, na kila timu ilipata vifaa vya michezo kutoka kwa mdhamini nk.
Karia amekuta tayari kila kitu kiko sawa, AZAM TV wapo, Vodacom walikuwepo, na vitu kibao, amekuta mafanikio tayari.
Swali zuri sana chief, watu ni wapuuzi sana WANAJISAHAULISHA...!!Alivyotoka Tenga si walikuwepo akina Malinzi, walifanya nin?
MmeshalegeaView attachment 2715133
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Karia ndo Rais bora zaid wa TFF kuwahi kutokea, ubora unapimwa na mafanikio, hakuna Rais wa TFF anayefikia mafanikio ya Karia.
Kuanzia thamani ya ligi kwasasa, mafanikio ya Vilabu na Timu za Taifa katika mashindano mbalimbali, hapa nazungumzia timu za Taifa zote, vijana, wanawake, walemavu na hii Taifa Stars, Ushabiki wa soka katika nchi umekua sana, thamani na maslahi ya wachezaji hasa wazawa ambao walikuwa hawana thaman, miundombinu kama viwanja na kadhalika.
Mapungufu hayakosekani, lakini huyu mzee ana mazuri mengi kuliko mapungufu, apewe maua yake.
Ukisikia matatizo ya akili ndo hayo sasa, ligi haikuwa na mdhamini? Mkataba na Azam aliuleta Karia?Alivyotoka Tenga si walikuwepo akina Malinzi, walifanya nin?
Usingeweka neno "matatizo ya akili" hoja yako ingekuwa na mantiki zaidi, Anyway Terms za mkataba wa Malinz na Azam then Karia na Azam zinafanana? Unadhan kwanin Karia ameweza kumodify zaidi mkataba?? Kwanin ameaminika?Ukisikia matatizo ya akili ndo hayo sasa, ligi haikuwa na mdhamini? Mkataba na Azam aliuleta Karia?
dalili namba moja ya mtu kushindwa hoja ni kutumia kauli zisizo za staha na hapa ndipo unapodhihirika UNYANI wa mashabiki wa utopolo kama alivyosema SIR LUC EYMAEL.Ukisikia matatizo ya akili ndo hayo sasa, ligi haikuwa na mdhamini? Mkataba na Azam aliuleta Karia?
Terms zinabadilika kutokana na muda, so sio hoja yenye mashiko. Ndio maana kuna kitu kinaitwa Time Value for money. Si umeona ukarabati wa uwanja wa Taifa ni bil 30 wakati ujenzi wake wakati huo ulikuwa bil 60?Usingeweka neno "matatizo ya akili" hoja yako ingekuwa na mantiki zaidi, Anyway Terms za mkataba wa Malinz na Azam then Karia na Azam zinafanana? Unadhan kwanin Karia ameweza kumodify zaidi mkataba?? Kwanin ameaminika?
Una hoja yes, hizo raman ambazo Tenga aliziacha mtu wa kwanz kuzikuta na kuanza nayo ni Malinz, alikaa ofisin almost 4 years (2013-2017) lakin hatukuona program zozote za timu iwe za Taifa au Vilabu, thaman ya ligi yetu bado haikuwa na tija, so ishu sio msingi uliowekwa, hapa suala ni nani ameukuta huo msingi na juu yake ameweka nin, leo ligi yetu ina mvuto na thaman kwasababu ya uongoz thabit wa TFF chini ya Karia.Terms zinabadilika kutokana na muda, so sio hoja yenye mashiko. Ndio maana kuna kitu kinaitwa Time Value for money. Si umeona ukarabati wa uwanja wa Taifa ni bil 30 wakati ujenzi wake wakati huo ulikuwa bil 60?
Tunachozungumzia hapa ni mafanikio yaliyoleta changes za mpira wetu. Katika hilo Tenga amemuacha mbali KARIA, ni sawa na kumlinganisha Magufuli na Mkapa. Mkapa hakuweza kujenga barabara kila mkoa ila kwa wakati wake ndio alitengeneza mifumo madhubuti na kuwa turning point ya TZ kuwa nchi inayotazamika.
Hata Uingereza pamoja na Maendeleo ila historia yao inaonesha kuwa Agrarian na Industrial revolutions era ndio zama bora kwao katika maendeleo ya nchi yao.
So kwenye Mpira, turning point yetu ni Tenga, enzi zake ligi kuu ilipata kuoneshwa na GTV ambaye alikuwa mshindani wa SUPER SPORTS, Enzi za Tenga, Ligi ilikuwa inachezeshwa angalau kwa ufanisi licha ya kutorushwa game zote.
Uwazi katika Taasisi ulianza kuonekana kipindi cha Tenga, na hata mashindano mengi ya CECAFA yalifanyika TZ kipindi cha TENGA.
Karia amekuta tayari Soka letu liko kwenye Ramani yeye ameingia 2017, ni juzi tu hapo, tayari timu kama Yanga ilishaingia Group stage ya Shirikisho nk ameikuta Taifa Stars tayari ina watu wa maana kuweza kupambana na kufuzu AFCON nk.
Amekuta Karume imefanyiwa maboresho nk.
Kama hujui mpira au una mahaba au ni kampeni meneja wake, mwambie muda ukiisha aondoke ofisini haraka sana. Hakuna ambacho amefanya kwa ufanisi zaidi ya kuwafungia watu.