Wallace Karia ndio Rais wa TFF mwenye mafanikio zaidi katika soka la Tanzania

Wallace Karia ndio Rais wa TFF mwenye mafanikio zaidi katika soka la Tanzania

Terms zinabadilika kutokana na muda, so sio hoja yenye mashiko. Ndio maana kuna kitu kinaitwa Time Value for money. Si umeona ukarabati wa uwanja wa Taifa ni bil 30 wakati ujenzi wake wakati huo ulikuwa bil 60?

Tunachozungumzia hapa ni mafanikio yaliyoleta changes za mpira wetu. Katika hilo Tenga amemuacha mbali KARIA, ni sawa na kumlinganisha Magufuli na Mkapa. Mkapa hakuweza kujenga barabara kila mkoa ila kwa wakati wake ndio alitengeneza mifumo madhubuti na kuwa turning point ya TZ kuwa nchi inayotazamika.

Hata Uingereza pamoja na Maendeleo ila historia yao inaonesha kuwa Agrarian na Industrial revolutions era ndio zama bora kwao katika maendeleo ya nchi yao.

So kwenye Mpira, turning point yetu ni Tenga, enzi zake ligi kuu ilipata kuoneshwa na GTV ambaye alikuwa mshindani wa SUPER SPORTS, Enzi za Tenga, Ligi ilikuwa inachezeshwa angalau kwa ufanisi licha ya kutorushwa game zote.

Uwazi katika Taasisi ulianza kuonekana kipindi cha Tenga, na hata mashindano mengi ya CECAFA yalifanyika TZ kipindi cha TENGA.

Karia amekuta tayari Soka letu liko kwenye Ramani yeye ameingia 2017, ni juzi tu hapo, tayari timu kama Yanga ilishaingia Group stage ya Shirikisho nk ameikuta Taifa Stars tayari ina watu wa maana kuweza kupambana na kufuzu AFCON nk.

Amekuta Karume imefanyiwa maboresho nk.

Kama hujui mpira au una mahaba au ni kampeni meneja wake, mwambie muda ukiisha aondoke ofisini haraka sana. Hakuna ambacho amefanya kwa ufanisi zaidi ya kuwafungia watu.
Na kusema terms zinabadilika kutokana a muda na sio hoja ni big NO, ndo maaa kuna taasisi kadri muda unavyozidi kwenda zinazid kuporomoka, km ingekuwa muda ndo unaleta positive changes na sio hoja na strategies basi taasisi zingezid kuwa bora kwa kadri muda unavyosonga.
 
View attachment 2715133
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Karia ndo Rais bora zaid wa TFF kuwahi kutokea, ubora unapimwa na mafanikio, hakuna Rais wa TFF anayefikia mafanikio ya Karia.

Kuanzia thamani ya ligi kwasasa, mafanikio ya Vilabu na Timu za Taifa katika mashindano mbalimbali, hapa nazungumzia timu za Taifa zote, vijana, wanawake, walemavu na hii Taifa Stars, Ushabiki wa soka katika nchi umekua sana, thamani na maslahi ya wachezaji hasa wazawa ambao walikuwa hawana thaman, miundombinu kama viwanja na kadhalika.

Mapungufu hayakosekani, lakini huyu mzee ana mazuri mengi kuliko mapungufu, apewe maua yake.
Mafanikio yapi wakati wanaingia mikataba na kampuni kudhamini ligi na hawasemi bingwa anapata nini. Hii ligi yetu tumshukuru Azam media and Bakhressa hao ndio wameleta mapinduzi makubwa ya huu Mpira. Huyo Karia na bodi ya ligi wamebakia kula hela tu na hakuna ubunifu wowote.
 
Mafanikio yapi wakati wanaingia mikataba na kampuni kudhamini ligi na hawasemi bingwa anapata nini. Hii ligi yetu tumshukuru Azam media and Bakhressa hao ndio wameleta mapinduzi makubwa ya huu Mpira. Huyo Karia na bodi ya ligi wamebakia kula hela tu na hakuna ubunifu wowote.
Hao wawekezaji uliowataja wamekuja kuweka pesa zao kwasababu ya sera nzuri zenye tija zilizopo TFF, wangeona kuna ubabaishaji au hakuna uhakika wa kupata faida wasingewekeza. Hawajawekeza km wahisani bali wafanya biashara, na wameona sera na mazingira vinasupport wao kupata faida. Nani anavisimamia hivyo vitu km sio Karia
 
Hao wawekezaji uliowataja wamekuja kuweka pesa zao kwasababu ya sera nzuri zenye tija zilizopo TFF, wangeona kuna ubabaishaji au hakuna uhakika wa kupata faida wasingewekeza. Hawajawekeza km wahisani bali wafanya biashara, na wameona sera na mazingira vinasupport wao kupata faida. Nani anavisimamia hivyo vitu km sio Karia
Wamewekeza sababu ya airtime ya Azam, kama hao TFF wako siriasi wameshindwa kupata mdhamini mzuri wa ligi, wanatafuta wadhamini kama wachawi.
 
Karia Hawezi Kuwa Rais Aliyefanikiwa Kwasababu ameingia Madarakani wakati mambo yakiwa yamebadirika. Ni kama uzaliwe kwenye Familia yenye pese halafu useme tayari una mafanikio
 
Karia Hawezi Kuwa Rais Aliyefanikiwa Kwasababu ameingia Madarakani wakati mambo yakiwa yamebadirika. Ni kama uzaliwe kwenye Familia yenye pese halafu useme tayari una mafanikio
Wapo waliozaliwa kweny familia yenye pesa walipoachiwa wao wakashindwq kuziendeleza wakawa maskin wa kutupwa. So hata kuendeleza pesa ulizozikuta bado sio rahis mkuu.. unahitaji kupongezwa
 
Wamewekeza sababu ya airtime ya Azam, kama hao TFF wako siriasi wameshindwa kupata mdhamini mzuri wa ligi, wanatafuta wadhamini kama wachawi.
Hata hao Azam unadhan uongoz wa TFF chin ya Karia usingekuwa na sera nzuri na uthubutu wangewekeza kweny mpira wa Bongo??
 
Back
Top Bottom