Wallace Karia ndiye kiongozi wa muda wote wa mpira nchini mwenye mafanikio bora zaidi

Wallace Karia ndiye kiongozi wa muda wote wa mpira nchini mwenye mafanikio bora zaidi

Kwa upande wangu, Leodgar Chilla Tenga ndiyo rais bora wa wakati wote wa TFF mpaka sasa.
Kwanza ni kiongozi ambaye enzi za uongozi wake; hakuendekeza makundi, ubaguzi, majungu, ubadhirifu, upigaji, na siasa za uccm kama huyo Karia na mwenzake Malinzi!
Hakika.
 
Back
Top Bottom