AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,577
- 4,637
Kinachoendelea ni kwamba kuna genge linaloongozwa, au kama si kuratibiwa na (Mdau mmoja wa michezo mkubwa kutoka radio iliyoko Maeneo ya DARAJANI Barabara ya KAWE).
Kwa kutumia watu wanaopatikana au kwa mgongo wa club moja kubwa hivi hapa nchini yenye jina la Mnyama wa Pori.
Wanatumia kila mbinu na chokochoko kuichafua na kuipuuzisha kama si kuisahalausha kazi NZURI iliyofanywa na WALLACE KARIA katika uongozi wake...
Tuwe wa wazi tu baada ya CHILA TENGA hakuna uongozi wa TFF uliofanya mengi makubwa kwa mpira wa bongo kama sio huu wa KARIA...amefanya kazi kubwa isiyohitaji kubezwa....
Ndio maana kuna genge la wahuni linaloongozwa na huyo bwana mwenye asili ya Mahali ilipotokea ajali ya MV BUKOBA...kuzusha chokochoko yoyote ili mradi LAWAMA na SHINIKIZO liende kwa KARIA kujiuzulu...
Kuhusu hili la GSM, aliyelianzisha na kumshauri CEO wa CLUB hiyo ya MNYAMA aupinge na kuzusha kahoja kepesi ka FAIR COMPETITION ambayo kwa namna yoyote isingekuwa hivyo walivyosema yeye na GENGE lake, ila lengo ni KUHARIBU MCHAKATO MZIMA UTAKAOZISAIDIA VILABU KUJIENDESHA ili ionekane na lawama ziende kwa uongozi kwa kushindwa kuwezesha vilabu vingine vya ligi kuu KUJIENDESHA na kuweza kushiriki vema ligi kuu.
Hasara ni kwa vilabu vingine ukiacha YANGA, SIMBA na AZAM zitaathirika sana mgogoro huu wa kimaslahi ya watu wachache kama huyu BWANA na genge lake.
Kama KARIA asipochukua hatua za haraka kulidhibiti genge hili...basi watakurudisha nyuma na kukuchafua...sio kwa lengo la kujenga, BALI NA WAO WAPATE KUINGIA NAO WALE KEKI YA MPIRA.
Kwenye suala la GSM, ni WAZI kuna masuala ya kimkataba mbali kabisa na suala Simba kutokubali kuvaa nembo ya mdhamini, ambayo hayo ndio yaliyochelewesha PESA kupelekwa kwa vilabu kama walivyokubaliana...na sababu hiyo hiyo ndiyo waliyofanya wajitoe...
Nakaribisha MJADALA...
NJE YA MADA KIDOGO:
Mbona suala la V.A.R tunali COMPLICATE hivi...tufanye kadri ya uwezo...
mbona tukiwa tunaangalia mpira kwa TV inakuwa ni haraka sisi tunaona REPLAY ya matukio ya uwanjani ..hivi haiwezekani kwa AZAM wakatuwekea ka TV ka Inch hata 55" pale uwanjani kanaonesha mechi kwa mwamuzi wa akiba ili amshtue mwenzake wa ndani kama uamuzi wowote labda hakuoona vizuri.
TUFANYE KADIRI YA UWEZO WETU.
Kwa kutumia watu wanaopatikana au kwa mgongo wa club moja kubwa hivi hapa nchini yenye jina la Mnyama wa Pori.
Wanatumia kila mbinu na chokochoko kuichafua na kuipuuzisha kama si kuisahalausha kazi NZURI iliyofanywa na WALLACE KARIA katika uongozi wake...
Tuwe wa wazi tu baada ya CHILA TENGA hakuna uongozi wa TFF uliofanya mengi makubwa kwa mpira wa bongo kama sio huu wa KARIA...amefanya kazi kubwa isiyohitaji kubezwa....
Ndio maana kuna genge la wahuni linaloongozwa na huyo bwana mwenye asili ya Mahali ilipotokea ajali ya MV BUKOBA...kuzusha chokochoko yoyote ili mradi LAWAMA na SHINIKIZO liende kwa KARIA kujiuzulu...
Kuhusu hili la GSM, aliyelianzisha na kumshauri CEO wa CLUB hiyo ya MNYAMA aupinge na kuzusha kahoja kepesi ka FAIR COMPETITION ambayo kwa namna yoyote isingekuwa hivyo walivyosema yeye na GENGE lake, ila lengo ni KUHARIBU MCHAKATO MZIMA UTAKAOZISAIDIA VILABU KUJIENDESHA ili ionekane na lawama ziende kwa uongozi kwa kushindwa kuwezesha vilabu vingine vya ligi kuu KUJIENDESHA na kuweza kushiriki vema ligi kuu.
Hasara ni kwa vilabu vingine ukiacha YANGA, SIMBA na AZAM zitaathirika sana mgogoro huu wa kimaslahi ya watu wachache kama huyu BWANA na genge lake.
Kama KARIA asipochukua hatua za haraka kulidhibiti genge hili...basi watakurudisha nyuma na kukuchafua...sio kwa lengo la kujenga, BALI NA WAO WAPATE KUINGIA NAO WALE KEKI YA MPIRA.
Kwenye suala la GSM, ni WAZI kuna masuala ya kimkataba mbali kabisa na suala Simba kutokubali kuvaa nembo ya mdhamini, ambayo hayo ndio yaliyochelewesha PESA kupelekwa kwa vilabu kama walivyokubaliana...na sababu hiyo hiyo ndiyo waliyofanya wajitoe...
Nakaribisha MJADALA...
NJE YA MADA KIDOGO:
Mbona suala la V.A.R tunali COMPLICATE hivi...tufanye kadri ya uwezo...
mbona tukiwa tunaangalia mpira kwa TV inakuwa ni haraka sisi tunaona REPLAY ya matukio ya uwanjani ..hivi haiwezekani kwa AZAM wakatuwekea ka TV ka Inch hata 55" pale uwanjani kanaonesha mechi kwa mwamuzi wa akiba ili amshtue mwenzake wa ndani kama uamuzi wowote labda hakuoona vizuri.
TUFANYE KADIRI YA UWEZO WETU.