Wallace Karia: Wadau wafuate sheria za mpira, waache kushindana na mamlaka wataumia

Wallace Karia: Wadau wafuate sheria za mpira, waache kushindana na mamlaka wataumia

Fifa inakataza kubwabwaje ?
Kubwabwaje na Different opinions ndio raha ya Soka..., Ukitaka gentleman acts hamia kwenye Golf....
Raha ya soka ni burudani ya uwanjani, ukitaka kufaidi kubwabwaja, hudhuria sherehe utawakuta ma MC
 
Back
Top Bottom