Raha ya soka ni burudani ya uwanjani, ukitaka kufaidi kubwabwaja, hudhuria sherehe utawakuta ma MCFifa inakataza kubwabwaje ?
Kubwabwaje na Different opinions ndio raha ya Soka..., Ukitaka gentleman acts hamia kwenye Golf....
NAKAZIA ,Fanyeni fujo zenu koote!! Ila mkiigusa tu Yanga kama Yanga, basi mjiandae kwenda na maji. Kuanzia huyo Karia wenu, mpaka Moo na Barbara wake.
Kama kataka tufanyajeMwenye asili ya Somalia hapo kuna tatizo la ubaguzi.
Kwani hawajaigusa bado?Fanyeni fujo zenu koote!! Ila mkiigusa tu Yanga kama Yanga, basi mjiandae kwenda na maji. Kuanzia huyo Karia wenu, mpaka Moo na Barbara wake.
Chora mstari kwa TFF ,huko Babra na Mo hamtawaweza labda kujifurahisha tu kuongeaFanyeni fujo zenu koote!! Ila mkiigusa tu Yanga kama Yanga, basi mjiandae kwenda na maji. Kuanzia huyo Karia wenu, mpaka Moo na Barbara wake.
Nimekuelewa inamaana hata yule msomali wa uto unamjumlishaMsomali na mpira ni vitu viwili tofauti
Hapana yule Msomali wa Uto yeye atakuwa anajua mpira kidogo au hujui ndio aliyeleta funguo pale utoNimekuelewa inamaana hata yule msomali wa uto unamjumlisha
Amalize aondokeKaria sio wa mchezo mchezo..🤔🤔
Kama Mungu akipenda!Amalize aondoke