Wallace Karia: Wanaojiita Wachambuzi sijui wamesomea wapi, hawautendei haki mpira wetu

Wallace Karia: Wanaojiita Wachambuzi sijui wamesomea wapi, hawautendei haki mpira wetu

Kwahiyo hoja ya Uhasibu wa Karia inakufa sio?
Inakufaje sasa kama yeye anawanyooshea vidole wenzake wakati na yeye pia anatakiwa aende akafunge mahesabu yaSerikali huko mpira sio mahali pake kwa yeye
 
rais kasema kweli wala si uongo natoa mfano

wingereza

wachambuzi ni wakina

michale owen
beki wa manu ferdinand
tienry henry.

hao ni baadhi ambao wanajulikana kwa sasa lakini toka nyuma mchambyzi wa mpira ukiwa uantizama epl lazima waonyeshe kacheza league mara ngap? kafunga goli ngapi ? na mataji

vilevile huwa wanatabia ya kualika wachambuzi wachezaji kama alan shearer, hata lampard alishawahi pewa air time kusema yake kuhusu mechi kazaaa.
Acha kukariri wewe
Jose morinho ni kocha mkubwa duniani ila ukimpa mpira apige danadana 5 hawez
 
Rais wa Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF, Wallace Karia kwenye semina iliyofanyika jana, amesema kuwa katika watu ambao hawautendei haki mpira wa Tanzania ni Wachambuzi wa mpira, wanaongea sana mpaka wanatoka nje ya mstari na kuharibu mpira.

"Kuna wanaojiita Wachambuzi, sijui uchambuzi wamesomea wapi. Kusema ukweli katika watu ambao hawautendei haki mpira wetu ni Wachambuzi, wao wanasikilizwa na watu halafu wanatoa maoni yao binafsi".

"Mimi naona wao (wachambuzi) ndiyo wakati mwingine wanaopotosha na kuzua taharuki".

"Wenzetu Wachambuzi au waandishi uliopo hapa (kwenye semina) mkitoka muwe mmebadilika, siyo mechi imeisha unamuuliza Kocha aliyefungwa goli tatu kwamba mwamuzi kachezesha vipi". Amesema Rais wa TFF.
Wachambuzi wa Mchongo hahaha
 
Timu ya 10 kwa utajir afrika[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20220303-173159.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Karia ana mapungufu yake.....
Ila TFF yake ndio inaweza ikasimama ikasema imelifanyia chochote soka la Tanzania.
Ni wakati wake Tanzania imeonesha uhai kimpira kidogo.

Anapata lawama Nyingi na chuki nyingi kuliko pongezi, tunaingia mkenge kwenye mtego uliowekwa na wapinzani wake.

Kuhusu wachambuzi nimelia sana Humu, hawana wanachokifahamu zaidi ya Upotoshaji na Ujuaji.
Wachambuzi hawa kwa upotoshaji wao wameifanya TFF iwork under prussure daima.
Ni kweli, wachambuzi hao ni watu wenye low iq lakini ujuaji mwingi. Kila mtu anataka kujifanya mchambuzi wakati ni zero brain!!!
 
Rais wa Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF, Wallace Karia kwenye semina iliyofanyika jana, amesema kuwa katika watu ambao hawautendei haki mpira wa Tanzania ni Wachambuzi wa mpira, wanaongea sana mpaka wanatoka nje ya mstari na kuharibu mpira.

"Kuna wanaojiita Wachambuzi, sijui uchambuzi wamesomea wapi. Kusema ukweli katika watu ambao hawautendei haki mpira wetu ni Wachambuzi, wao wanasikilizwa na watu halafu wanatoa maoni yao binafsi".

"Mimi naona wao (wachambuzi) ndiyo wakati mwingine wanaopotosha na kuzua taharuki".

"Wenzetu Wachambuzi au waandishi uliopo hapa (kwenye semina) mkitoka muwe mmebadilika, siyo mechi imeisha unamuuliza Kocha aliyefungwa goli tatu kwamba mwamuzi kachezesha vipi". Amesema Rais wa TFF.
Yeye huo urais wa tff kasomea wapi?
 
Kati ya wachambuzi wa ovyo JF Kwa Sasa ni Ghazwat. Yeye Kila wakati ni kuleta maoni hasi dhidi ya Yanga pekee. Kwake Hakuna kiongozi, mchezaji au shabiki wa Simba anayefanya vibaya.

Ni aina ya mashabiki fuata upepo ambaye Hana msaada wowote Kwa timu anayoshabikia zaidi ya kuipaka mafuta Kwa mgongo wa chupa. Huwezi kumfananisha na Mightier au Gentamycine àmbao nao ni Simba lakini timu, mchezaji au shabiki anapokuwa na udhaifu wanasema ukweli.

Zamani OKWI BOBAN SUNZU alikuwa Bora Sana kiuchambuzi, siku hizi kabebwa na ndugu yake naye kawa wa ajabu!! Bora Scars anaimprove Sana katika uchambuzi, nadhani baada ya kumsema
Ghazwat kaka hii comment umeiona au unapita kimya kimya mtani😎
 
Ghazwat kaka hii comment umeiona au unapita kimya kimya mtani😎
Andiko lake halina maana ni la kipuuzi mno ndo maana nimeliacha lielee tu baharini, Yeye amekasirika kwa sababu nimegusa Yanga, TFF na GSM, yeye anadhani tunaweza kuwa sawa kimaoni na kimtazamo.
 
Sijawahi kupoteza muda wangu kuwasikiliza akina Eddo Kumwembe na jopo lake.
 
Karia ana mapungufu yake.....
Ila TFF yake ndio inaweza ikasimama ikasema imelifanyia chochote soka la Tanzania.
Ni wakati wake Tanzania imeonesha uhai kimpira kidogo.

Anapata lawama Nyingi na chuki nyingi kuliko pongezi, tunaingia mkenge kwenye mtego uliowekwa na wapinzani wake.

Kuhusu wachambuzi nimelia sana Humu, hawana wanachokifahamu zaidi ya Upotoshaji na Ujuaji.
Wachambuzi hawa kwa upotoshaji wao wameifanya TFF iwork under prussure daima.


True
 
Anae simamia Idara ya Michezo pale WASAFI ni mtu wa hovyo sana, yani watangazaji na wachambuzi zote n'gombe tupu kasoro Ambangile, Ricardo na Eddo. Kale kanyakyusa ka JOB JOB ujuaji mwingi content zero kanataka kuongea muda wote
Kwangu Job pia ni mchambuzi mzuri na anapenda kunyoosha mambo vyema ila ninampa ushauri tu kuwa hata kama hana hulka ya HUMBLENESS kuna wakati ajizoeze kwa kuiangalia tabia ya Ambangile....

Kukosa humbleness na kupenda unnecessary "tug of wars" katika mazungumzo/majadiliano ni hulka inayowapunguzia watu wengi "credit"......

G.Ambangile is charismatic 👍

#YetzerHatov
 
Back
Top Bottom