Walokole nchini Uganda ' wamchefua ' Rais Museveni na Yeye bila kuwachelewesha kawatolea ' uvivu ' kwa makavu!

Walokole nchini Uganda ' wamchefua ' Rais Museveni na Yeye bila kuwachelewesha kawatolea ' uvivu ' kwa makavu!

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Baada ya Rais Museveni kuwepo katika Mkutano wake wa hadhara wa Kisiasa nchini Kwake alikumbana na adha ya makelele ya ' Kimaombi ' kutoka kwa Walokole waliokuwa wakisali karibu na Uwanja ambao na Yeye alikuwepo hivyo kusababisha kutokusikilizana ndipo akaamua kuwapa ' makavu ' yao ' mubashara ' kabisa.

Rais Museveni baada ya kuonekana amekasirishwa na makelele ya Walokole ndipo akasema hii Kauli ambayo nainukuu hapa..." Hivi hawa Walokole hivi wanavyokuwa wanapenda Kuomba kwa Kupiga Makelele waliambiwa kwamba Mwenyezi Mungu wetu ni Kiziwi kiasi kwamba hata wakiwa wanaomba au wanamwomba tu Kimoyomoyo hawezi kuwasikia na hata Kuwabariki? Mbona madhehebu mengine Waumini wao huwa wanaomba kwa nidhamu, taratibu bila fujo na makelele na bado wanabarikiwa? Kuna Mlokole mmoja labda aliwahi kwenda Mbinguni akakutana na Mungu na akagundua kuwa ni Kiziwi hivyo alivyorudi akawaambia Walokole wote kuwa wawe sasa Wanasali kwa Makelele hadi Kuwasumbua na Kuwaudhi Watu wengine? Wabadilike tafadhali! "

Shikamoo Rais Yoweri Kaguta Museveni.

Walokole nchini Tanzania mpo?

Nawasilisha.
 
Baada ya Rais Museveni kuwepo katika Mkutano wake wa hadhara wa Kisiasa nchini Kwake alikumbana na adha ya makelele ya ' Kimaombi ' kutoka kwa Walokole waliokuwa wakisali karibu na Uwanja ambao na Yeye alikuwepo hivyo kusababisha kutokusikilizana ndipo akaamua kuwapa ' makavu ' yao ' mubashara ' kabisa.
Mkuu nikiangalia post zako unaonekana ww ni 44+

Lakini ni zuzu hatari
 
Makavu yapi hayo funguka mkuu au tupe link na Sisi tuone
 
Baada ya Rais Museveni kuwepo katika Mkutano wake wa hadhara wa Kisiasa nchini Kwake alikumbana na adha ya makelele ya ' Kimaombi ' kutoka kwa Walokole waliokuwa wakisali karibu na Uwanja ambao na Yeye alikuwepo hivyo kusababisha kutokusikilizana ndipo akaamua kuwapa ' makavu ' yao ' mubashara ' kabisa.

Rais Museveni baada ya kuonekana amekasirishwa na makelele ya Walokole ndipo akasema hii Kauli ambayo nainukuu hapa..." Hivi hawa Walokole hivi wanavyokuwa wanapenda Kuomba kwa Kupiga Makelele waliambiwa kwamba Mwenyezi Mungu wetu ni Kiziwi kiasi kwamba hata wakiwa wanaomba au wanamwomba tu Kimoyomoyo hawezi kuwasikia na hata Kuwabariki? Mbona madhehebu mengine Waumini wao huwa wanaomba kwa nidhamu, taratibu bila fujo na makelele na bado wanabarikiwa? Kuna Mlokole mmoja labda aliwahi kwenda Mbinguni akakutana na Mungu na akagundua kuwa ni Kiziwi hivyo alivyorudi akawaambia Walokole wote kuwa wawe sasa Wanasali kwa Makelele hadi Kuwasumbua na Kuwaudhi Watu wengine? Wabadilike tafadhali! "

Shikamoo Rais Yoweri Kaguta Museveni.

Walokole nchini Tanzania mpo?

Nawasilisha.
Subiri povu lao. Ila KIUKWELI WANAKERA TENA PALE WANAPOAMUA KUKESHA KWA MIKELELE NA KUSABABISHA NA WENGINE WASILALE BILA SABABU ZA MSINGI!!!!
 
Yeye Museven kaongea lini na Mungu kwamba anahitaji watu waombe kwa kunongo'neza, asijichanganye kwenye imani za watu apambane tu na hali yake
 
Yeye Museven kaongea lini na Mungu kwamba anahitaji watu waombe kwa kunongo'neza, asijichanganye kwenye imani za watu apambane tu na hali yake
Je, Mungu ni kiziwi mpaka asikie sala za waja wake...??
 
HOJA NI SAHIHI ILA ITAPATA UPINZANI TOKAKWA WALE WALIOWEKA IMANI MOYONI BADALA YA KICHWANI
 
Baada ya Rais Museveni kuwepo katika Mkutano wake wa hadhara wa Kisiasa nchini Kwake alikumbana na adha ya makelele ya ' Kimaombi ' kutoka kwa Walokole waliokuwa wakisali karibu na Uwanja ambao na Yeye alikuwepo hivyo kusababisha kutokusikilizana ndipo akaamua kuwapa ' makavu ' yao ' mubashara ' kabisa.

Rais Museveni baada ya kuonekana amekasirishwa na makelele ya Walokole ndipo akasema hii Kauli ambayo nainukuu hapa..." Hivi hawa Walokole hivi wanavyokuwa wanapenda Kuomba kwa Kupiga Makelele waliambiwa kwamba Mwenyezi Mungu wetu ni Kiziwi kiasi kwamba hata wakiwa wanaomba au wanamwomba tu Kimoyomoyo hawezi kuwasikia na hata Kuwabariki? Mbona madhehebu mengine Waumini wao huwa wanaomba kwa nidhamu, taratibu bila fujo na makelele na bado wanabarikiwa? Kuna Mlokole mmoja labda aliwahi kwenda Mbinguni akakutana na Mungu na akagundua kuwa ni Kiziwi hivyo alivyorudi akawaambia Walokole wote kuwa wawe sasa Wanasali kwa Makelele hadi Kuwasumbua na Kuwaudhi Watu wengine? Wabadilike tafadhali! "

Shikamoo Rais Yoweri Kaguta Museveni.

Walokole nchini Tanzania mpo?

Nawasilisha.
Ushahidi wa video
 
Back
Top Bottom