Walokole zaidi ya 50 na familia zoa wakamatwa wakiingia Kenya kuelekea Ethiopia kuhubiri neno

Walokole zaidi ya 50 na familia zoa wakamatwa wakiingia Kenya kuelekea Ethiopia kuhubiri neno

Covax

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
10,198
Reaction score
35,323
TV ya NTV imelipoti leo kwamba wanasaka kiongozi wa kanisa moja kutoka Kenya alieshirikiana na mwenzie wa Uganda kurubuni na kupotosha kondo za bwana kuuza mali zao zote kwa matumaini ya kuelekea Ethiopia pamoja na familia zao ili Mungu awafungulie utajiri duniani na binguni awasamehe madhabi yao yote, wa kimtumikia kule.

Pesa zao zote na mali zingine walizouza walimkabidhi mchungaji wao aliepotea punde alivyowafikisha mpkani wa Kenya na Uganda wa Busia, hao watu wote wamekamatwa na askari wa uhamiaji wa Uganda baada ya kuwatilia mashaka.

Ndugu zanguni walokole muache ujinga mnapotoshwa na hao uchungaji njaa, utahubirie Ethiopia hali ya kua Ukristu uliaziakule karine ya 4 wewe umeupokea karne ya 18. Huo ni ujuha. Picha zaidi tembelea NTV U kama una ndugu miongoni mwao.

Screenshot_20230408-220213_Facebook.jpg
Screenshot_20230426-191724_Facebook.jpg
 
Kwa nini Imani ya wenzio unaiona potofu na yako ni sahihi?
Kwani wewe kweli unaona hapo kuna kitu kama sio ujinga mtupu, wengine wali lishwa nyasi ili wemuone Yesu.
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya ulokole na cultism. Hayo jamaa siyo walokole ila wako kwenye cult. Hao ni cult members
 
Kwa nini Imani ya wenzio unaiona potofu na yako ni sahihi?
Hawa wametoa mali zao na aliewadsnganya kakimbia na mali zao
Sasa hapo ni dini au ni utapeli?

Kama unawaona wako sawa kwa kutapeliwa huo ni mtazamo wako

Ila dini zimeingiliwa na matapeli na wajinga wanapigwa haswa
 
Hawa wametoa mali zao na aliewadsnganya kakimbia na mali zao
Sasa hapo ni dini au ni utapeli?

Kama unawaona wako sawa kwa kutapeliwa huo ni mtazamo wako

Ila dini zimeingiliwa na matapeli na wajinga wanapigwa haswa
Hakuna dini ambayo haiwapigi wafuasi wake
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya ulokole na cultism. Hayo jamaa siyo walokole ila wako kwenye cult. Hao ni cult members
Tofautisha kwangu naona ulokole ni main cult small cults develop from the main cult, hiyo sio dini cult.
 
Tofautisha kwangu naona ulokole ni main cult small cults develop from the main cult, hiyo sio dini cult.
Wanatofauti kubwa sana. Yoyote ampaye YESU kuwa kiongozi wake na kutenda matendo aliyoelekezwa na YESU ikiwemo kutii sheria za inchi ndiyo anaitwa mlokole. Sasa hawa jamaa ni illegal migrants unawaita walokole kweli? Hao ni cult members
 
Wanatofauti kubwa sana. Yoyote ampaye YESU kuwa kiongozi wake na kutenda matendo aliyoelekezwa na YESU ikiwemo kutii sheria za inchi ndiyo anaitwa mlokole. Sasa hawa jamaa ni illegal migrants unawaita walokole kweli? Hao ni cult members
Tatizo lao wote wanatumia neno Yesu kila wakiwa wanahubiri
Kwanini sijui
 
 
Back
Top Bottom