Walter chilambo na mil 50 ya BSS

Walter chilambo na mil 50 ya BSS

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
56,205
Reaction score
79,515
Naungana na Ney wa Mitego,kiukweli walter amechoka sana sidhani kama kweli alipewa zile m 50 atakuwa amepewa kama m10 hv then 40 watu wameipiga panga noma sana.
 
amekana kwenye xxl..
Mi mwenyewe naamini hakupewa ,sema hawez ongea ukwel kama alikatwa .
Upewe 50M kirahcrahc.
 
wekeni picha hapa tuone alivyochoka....isije kuwa kubadilisha pesa kuwa matofali na uchawi wa mjapani....lazima afulie...
 
Mkuu kama akili ya kutumia na kuzalisha hiyo hela hana utamlaumu? Maana usikute hata 1Mil hapo mwanzo hajawahi kuishika.
 
Fedha haijifichi kiongozi,lazima ngozi na midomo itaonekana ina umate umate lkn kwa water ni nehi...YANI NOMA SANAAA


sasa familua yake yoote imekodolea hiyo hela... unategemea nini??? lazima apigike


...vilevile zile sura 3,,, salama ,j na madam sina imani nazo kabisa.. wanapiga panga lazima.
 
Kila mtu anaongelea hearsay. Hamna mwenye uhakika hata 1

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Fedha haijifichi kiongozi,lazima ngozi na midomo itaonekana ina umate umate lkn kwa water ni nehi...YANI NOMA SANAAA

basi kama mil50 aliyoipata watu hamuioni atakuwa ni msanii mwenye akili sana...sio wale ndugu zangu wanaozunguka mikoani ivi sasa wakirudi na mil2 zao bas hatupumui batani badala ya kujenga fyucha.
 
basi kama mil50 aliyoipata watu hamuioni atakuwa ni msanii mwenye akili sana...sio wale ndugu zangu wanaozunguka mikoani ivi sasa wakirudi na mil2 zao bas hatupumui batani badala ya kujenga fyucha.

Matumbo unaonekana wewe ni Team WAFU FM.
 
Muulizeni Kama Jeremiah kuhusu zawadi za bss ...! Walter Atakuja funguka tu Siku moja
 
Back
Top Bottom