Wamaasai wa Loliondo: Waziri Lazaro Nyalandu analiongopea Taifa & Rais

Wamaasai wa Loliondo: Waziri Lazaro Nyalandu analiongopea Taifa & Rais

Kwanza serikali ionyeshe hiyo kampuni ya mfalme wa UAE inaingiza serikali kipato gani kama sio kuwahonga vigogo. ni jambo la kustaajabisha kuona wananchi wananyanyaswa na serikali yao kwa manufaa ya wageni. Kwanza hao OBC wanatakiwa kufukuzwa kwani inaelekea wameanzisha koloni ndani ya nchi yetu kwani kinachowapata ndugu zetu wa jamii ya kimaasai ni sawa na kuwa chini ya mamlaka ya kikoloni. chondechonde tusiwapeleke ndugu zetu kuanzisha vita vya ukombozi kutoka na uroho wa viongozi.
 
Hizo ni porojo na ufataani. Othello wapo hapo walipo toka mwaka 1992 Nyerere akiwa hai.

Othello wapo kama kampuni zingine zozote zenye vitau vya kuwindia.

Waziri ameshasema wazi, tumemsikia kwenye TV mbele ya Wamasai waliokuwa na wasi wasi baada ya kusikia hizi fitna kuwa hakuna ardhi itachokuliwa na kugaiwa mtu mwingine yeyote. Wasiwe na wasi wasi.

Naona mwaka huu mmeanza kampeni mapema mno. Hii mada kila zikikaribia kampeni lazima iletwe kiaina moja au nyingine.
 
Kinachofanyika Loliondo ni zaidi ya ukoloni, kule kuna nchi nyingine ya kiarabu,wanyama wanateketezwa bila kujali kuna kesho, kunaukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu, kumekua na visa vya mateso na kulawitiwa kwa wamaasai. Hakuna anaejali na mwenye sauti mbele ya Mwarabu. Kunahitajika uchunguzi huru juu ya huyu mwekezaji.
 
Nyalandu ni kiongozi mbovu lakini kwa hili namtetea. Nilipata kuandika 'bila kudhibiti NGOs loliondo haitawaliki'. Hii ni taarifa ya ngos za wakenya. Wanasumbua sana. Kinara wabkupost haya ni raia wa kenya aliyeajiriwa wizara ya maliasili na utalii. Tunamjua na anayetaka jina na namba yake ani-pm. Nasema, nyalandu ni waziri mbovu lakini kwa uzushi huu nitamtetea.

Vipi assignment ya Mollel iliisha? Sasa una angalia upande wa pili? Wewe ni noma! Dhambi za NGO na wananchi zitakutafuna.
 
Wamasai ni wagumu sana kubadilika wanangatwa na nnge lakini wanaendelea kumkumbatia, watu wa ajabu sana hawapendi badiliko.mi nasema wanyanganywe hata ngombe wao ili wapate akili.

usamehewe bure kwani hujui ulisemalo.
 
Vipi assignment ya Mollel iliisha? Sasa una angalia upande wa pili? Wewe ni noma! Dhambi za NGO na wananchi zitakutafuna.

Bado haijaisha. Stay tune! Huu ni mpango mahsusi wa kupambana na wahuni wote, hasa raia wa Kenya wanaoifanya Loliondo isitawalike. Mwambieni mama Tina asilete chokochoko za Kenya kwao. Nanyi wanafiki mnaofaidi hela za NGOs na kuisaliti nchi yenu tutawafuatilia mmoja baada ya mwingine. Mkono wa dola ni mrefu. Hautawaacha mtambe kwa ufadhili wa wageni!
 
LOL! hongera zako! Wajibika

Bado haijaisha. Stay tune! Huu ni mpango mahsusi wa kupambana na wahuni wote, hasa raia wa Kenya wanaoifanya Loliondo isitawalike. Mwambieni mama Tina asilete chokochoko za Kenya kwao. Nanyi wanafiki mnaofaidi hela za NGOs na kuisaliti nchi yenu tutawafuatilia mmoja baada ya mwingine. Mkono wa dola ni mrefu. Hautawaacha mtambe kwa ufadhili wa wageni!
 
Kinachofanyika Loliondo ni zaidi ya ukoloni,kule kuna nchi nyingine ya kiarabu, wanyama wanateketezwa bila kujali kuna kesho, kunaukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu, kumekua na visa vya mateso na kulawitiwa kwa wamaasai. Hakuna anaejali na mwenye sauti mbele ya mwarabu. Kunahitajika uchunguzi huru juu ya huyu mwekezaji.

Wacha uongo wewe. Mmasai gani kalawitiwa?

Wamasai ni sawa na makabila mengine Tz. Mtwara wakihamishwa ardhi yao kuleta bomba la gesi ni sawa na wamasai kuondoka ili kuiboresha ardhi wanayo iharibu kwa ufugaji wao ulopitwa na wakati.

Wamasai wabadilike na wasikubali kutumiwa na vikaragosi kutoka nje.

Nchi imepewa ardhi na maliasili lazima zitumike kuleta maendeleo ikibidi hata wamasai wote wahame poa tu hakuna ardhi ya asili hapa
 
Kinachofanyika Loliondo ni zaidi ya ukoloni,kule kuna nchi nyingine ya kiarabu,wanyama wanateketezwa bila kujali kuna kesho,kunaukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu,kumekua na visa vya mateso na kulawitiwa kwa wamaasai.Hakuna anaejali na mwenye sauti mbele ya mwarabu.Kunahitajika uchunguzi huru juu ya huyu mwekezaji.

Isijekuwa ni wewe uliyelawitiwa maana hatujasikia kwengine.
 
Wacha uongo wewe.mmasai gani kalawitiwa ?
Wamasai ni sawa na makabila mengine Tz .mtwara wakihamishwa ardhi yao kuleta bomba la gesi ni sawa na wamasai kuondoka ili kuiboresha ardhi wanayo iharibu kwa ufugaji wao ulopitwa na wakati.
Wamasai wabadilike na wasikubali kutumiwa na vikaragosi kutoka nje.
Nchi imepewa ardhi na maliasili lazima zitumike kuleta maendeleo ikibidi hata wamasai wote wahame poa tu hakuna ardhi ya asili hapa

Hivi visa ni chuki tu, Wamasai wametapakaa Tanzania nzima na hawana ardhi ya asili.
Visa walivyofanyiwa Usangu na Watanzania wenzao mbona haviletwi?

Morogoro huko wameuana wakulima na wafugaji lakini kimya.

Kina fox, Wazungu hawa, wana vitalu vya kuwindia kando kando ya mbuga za Selou, Ruaha na Mikumi lakini husikii hata kwi, wakisemwa. Kuna walawiti na waharibifu zaidi ya wazungu Tanzania hii? Kina father wa kanisani Kit Cunningham wamelawiti wanafunzi shule nzima huko Soni tena kwa miaka, ulisikia nani akilizungumzia hilo? Kuna wazungu wamewafanyisha ngono mpaka na mbwa ndugu zetu wa Kitanzania, ulisikia nani analizungumzia hilo?

Hao Waarabu ni Waislam na utaona wanaoleta hizi nyuzi zote za uchochezi ni Wakristo wasiojijuwa, pengine ni hao hao wanafunzi wa kina Father Kit Cunningham.
 
naendelea kupita tuu
 
naendelea kupita tuu
 
Back
Top Bottom