Wamachame wamesusa shule za umma? Au uzazi wa kisasa? Watoto ni chini ya 25 kwa Darasa karibu shule zote wilaya ya Hai

Wamachame wamesusa shule za umma? Au uzazi wa kisasa? Watoto ni chini ya 25 kwa Darasa karibu shule zote wilaya ya Hai

Fortilo

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
5,807
Reaction score
17,416
Niweke wazi kuwa nina maslah ya moja kwa moja na huu uzi.

Nimezaliwa, nimekulia, nimesoma Machame, nimetoka nikiwa mtu mzima kidogo..

Kipindi tunasoma tulikuwa si chini ya Wanafunzi 40 kwa darasa... During may be more than 20 years ago,

Kwa sasa ni chini ya wanafunzi 20
Kuna shule nyingi zina chini ya wanafunzi 15.

Niliyosoma mimi ina chini ya wanafunzi 18

Na population ya Machame ilikuwa kubwa sana tofaut na sasa( nimetoka huko juzi)

Najiuliza shida nini sikuizi?

Naangalia shule za wilaya nyingine mkoa wa Kilimanjaro na mikoa mingine kama Shinyanga, Kahama, Dodoma, Geita, Singida na Dar mpaka Pwani watoto kwa darasa ni zaidi ya 80 kuendelea..

Tumesusa shule za umma au. Ni uzazi wa mpango?

Screenshot_20241101-221339.png
Screenshot_20241101-221327.png
Screenshot_20241101-221214.png
Screenshot_20241101-221214.png
 
1. Tatizo kilimanjaro haipendi wageni wachaga mnaubaguzi mbaya sana hamna tofauti na wapemba..
Sasa nyie hamzaliani sana na hampendi wageni waje waishi kilimanjaro ardhi yote mnamiliki wenyewe na hamuzii kwa mtu ambaye sio mchaga mji yenu itakuwa vipi?

2. Hamkai nyumbani kwenu mkibalehee tu mnatafuta njia ya kukimbilia huko kujitafutia kutokana na nature ya wachaga ni wafanya biashara
unaposema watoto wa mikoa mingine darasani wapo 80 hukosi watoto wa kichaga humo hata 8.
 
1. Tatizo kilimanjaro haipendi wageni wachaga mnaubaguzi mbaya sana hamna tofauti na wapemba..
Sasa nyie hamzaliani sana na hampendi wageni waje waishi kilimanjaro ardhi yote mnamiliki wenyewe na hamuzii kwa mtu ambaye sio mchaga mji yenu itakuwa vipi?

2. Hamkai nyumbani kwenu mkibalehee tu mnatafuta njia ya kukimbilia huko kujitafutia kutokana na nature ya wachaga ni wafanya biashara
unaposema watoto wa mikoa mingine darasani wapo 80 hukosi watoto wa kichaga humo hata 8.
Sio kweli mkuu, embu nenda
KCMC, Uru, Boma Ngombe, Mabogini, Shabaha na Himo...

Wageni ni wengi mno
 
Wamachame wengi hawakai machame
Sababu ya maisha utakutana nao mikoa mingine wakisaka maisha

Dodoma,mwanza,geita daslam na sehemu nyingine nyingi

Ni wasukuma tu ndo wameweza kusambaa na kubaki kwao pia maana wao ni wengi sana

Wazinza sijui wako wapi jamani huku mjini sijawahi kutana na mzinza kabisa roho ina niuma sana mda mwingine unataka ukutane na ndugu zako wa mkoan kwako
 
1. Tatizo kilimanjaro haipendi wageni wachaga mnaubaguzi mbaya sana hamna tofauti na wapemba..
Sasa nyie hamzaliani sana na hampendi wageni waje waishi kilimanjaro ardhi yote mnamiliki wenyewe na hamuzii kwa mtu ambaye sio mchaga mji yenu itakuwa vipi?

2. Hamkai nyumbani kwenu mkibalehee tu mnatafuta njia ya kukimbilia huko kujitafutia kutokana na nature ya wachaga ni wafanya biashara
unaposema watoto wa mikoa mingine darasani wapo 80 hukosi watoto wa kichaga humo hata 8.
mkoa wa Kilimanjaro ni mdogo sana kieneo ni sawa na dodoma uiga
Ukiacha Wasukuma ni kabila gani jingine lenye idadi kubwa hivi ya watu? Kumbuka Tz nzima ina Makabila 120
wagogo na wanakyusa
 
1. Tatizo kilimanjaro haipendi wageni wachaga mnaubaguzi mbaya sana hamna tofauti na wapemba..
Sasa nyie hamzaliani sana na hampendi wageni waje waishi kilimanjaro ardhi yote mnamiliki wenyewe na hamuzii kwa mtu ambaye sio mchaga mji yenu itakuwa vipi?

2. Hamkai nyumbani kwenu mkibalehee tu mnatafuta njia ya kukimbilia huko kujitafutia kutokana na nature ya wachaga ni wafanya biashara
unaposema watoto wa mikoa mingine darasani wapo 80 hukosi watoto wa kichaga humo hata 8.
Sio hawapendi wageni bali hawana utamaduni wa kuuza ardhi
 
Vijana wa kiume waliosalia nyumbani kwao mkoa wa Kilimanjaro kwa asilimia kubwa wanauraibu wa pombe. Pombe kali imewaharibu wengi. Wanashindwa kupata watoto na wanishia kifanya vibarua ili wapate hela za pombe. Wenzao waliofanikiwa kupata riziki nje na mkoa wa Kilimanjaro, huwa wanakuja Desemba kuhesabiwa na familia zao na kurudi miji waliohamia kuendelea na utafutaji. Kuna baadhi ya shule za msingi zimefungwa na watoto kuhamia shule za jirani kwa sababu ya idadi ndogo ya wanafunzi.
 
Wamachame wengi hawakai machame
Sababu ya maisha utakutana nao mikoa mingine wakisaka maisha

Dodoma,mwanza,geita daslam na sehemu nyingine nyingi

Ni wasukuma tu ndo wameweza kusambaa na kubaki kwao pia maana wao ni wengi sana

Wazinza sijui wako wapi jamani huku mjini sijawahi kutana na mzinza kabisa roho ina niuma sana mda mwingine unataka ukutane na ndugu zako wa mkoan kwako
Wanzinza si ndio wasukuma hao geita moja
 
Back
Top Bottom