Wamachinga a.k.a Wanyonge mmezalisha ajira ngapi toka 2015?

Wamachinga a.k.a Wanyonge mmezalisha ajira ngapi toka 2015?

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735
Duniani kuna leo na kesho hili halitobadilika, na hakuna anaejua hata dk 1 mbele yake kitatokea nini.

Wamachinga kupitia JPM walipewa uhuru wa kutosha kabisa, hadi ukawalevywa wakawa kama ndio wenye nchi, wana haki zote, wao waliamua wafunge barabara ili wafanye shughuli zao, kama una gari itabidi ulibebe juu mgongoni ili uvuke biashara zao.

Mtetezi wa wanyonge kashatangulia, sasa mimi nina uliza: je, kipindi chote uhuru wa kufanya biashara wametengeneza ajira ngapi?

Kipindi mashine za EFD zinakuja TRA ilisema kila mfanyabiashara ni lazma atumie, labda mauzo yako yawe chini ya 40,000/= (elfu arobaini tu). Kama hukufanikiwa kujiongeza unaamini upewe muda gani ili utoke rod?
 
Wamachinga ni cheap labourers wa wa wahindi
Kuna mmachinga anaeagiza mwenyewe bidhaa kutoka nje?
Au anaetengeneza mwenyewe?

Ni vibarua Tu hao..

Sawa na wachimbaji wadogo wa madini
Wengi ni vibarua wa kina Laizer
Waendelee au watoke?
 
Wamachinga ni cheap labourers wa wa wahindi
Kuna mmachinga anaeagiza mwenyewe bidhaa kutoka nje?
Au anaetengeneza mwenyewe?

Ni vibarua Tu hao..

Sawa na wachimbaji wadogo wa madini
Wengi ni vibarua wa kina Laizer
Hakuna anayejaribu kuwaza hilo.

Hata wauza Ice cream wa Bakhresa ni machinga.
 
Wamechafua na kuharibu miundo mbinu. Hakuna hata wealth or capital creation kwa hawa nzige. Waondolewe mara moja.
Yan mitaani hakuvutii tena,kuna uchafu kila kona... Binafsi ningependa kumshauri mama Samia atoe notes ya mwaka mmoja tu, manispaa na halmashauri mbalimbali ziwatafutie maeneo ya kwenda. Notes ikiisha wasilaumiane
 
ANYWAY NI BINADAMU KAMA WENGINE...ila miji imekuwa michafu kupindukia...yaani wao kinafasi kdg wanajaaa ghafla.......kuna haja ya kuangalia upya suala la machinga.....watengewe maeneo na waende kwa lazima....bila hivyo hii kero haitaisha maana ni kero kuu...kama njia ta kinyerezi from kimara/mbezi...aiseee pale kuna wamama na mivyura yao tena wamekaa kuielekeza kwa road,,,wanausa mboga mboga...kweli wanatafuta riziki lakini ni hatari mno....kuna midereva hamnazo mtajasikia tukio hatariii pale....
 
Chadema nyie ni wapumbavu Sana na hamna jema na nchi yetu ya Tanzania. Nyie kila kitu mnaona kinaenda vibaya
 
Back
Top Bottom