MICHAEL JACKSONN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 226
- 229
ndio hao wanaoamua kwenye sanduku nani awe rais ama mbunge maana ni wengi mno pamoja na kaka zao boda boda.
ni rahisi sana kudeal na shida zao maan impact ya maamuzi yako kwao inaonekana mara moja,tofauti na hawa wengine ambao ni mtaji kwa chadema na ccm ya 2015.
kosa kubwa ni pale tunapoamua kutatua changamoto zao kwa kuwatizama kama watu duni kabisa wasio na upeo wa kufikiri,utawala wa sasa imabidi utoe maamuzi juu yao kwa kuzingatia pande zote mbili.
wapelekwe kwenye maeneo yaliyoandaliwa mfano machinga pale.
ni rahisi sana kudeal na shida zao maan impact ya maamuzi yako kwao inaonekana mara moja,tofauti na hawa wengine ambao ni mtaji kwa chadema na ccm ya 2015.
kosa kubwa ni pale tunapoamua kutatua changamoto zao kwa kuwatizama kama watu duni kabisa wasio na upeo wa kufikiri,utawala wa sasa imabidi utoe maamuzi juu yao kwa kuzingatia pande zote mbili.
wapelekwe kwenye maeneo yaliyoandaliwa mfano machinga pale.