Nimeona Waafuganistan wanagawana duka moja watatu na wanachangia kodi pamoja. Kama halmashauri ikiweka kodi laki moja kwa mwezi wanaweza kugawana mwenye leseni akatoa 30 na wenzake kutoa 35x2Idea nzuri hii mkuu, kwasababu inaonakana si rahisi kuwalazimisha waende kwenye hayo masoko yalijengwa kwa sababu mbali mbali. Basi ni bora njia hiyo itumike itakua poa sana.
Wewe acha upunguaniKuna Mama mmoja alisikika akinena baada ya kushiba urojo, viazi mbatata na juisi ya miwa "Mimi na mwendazake ni wale wale, tofauti yetu ni jinsia tu, msini dharau kisa mimi ni mwanamke, zege hailali, kazi iendelee, na nawaahidi mimi ni muendelezo wake mwendazake".
Jopo la wateja waliokua pale kilingeni walicheka sana kana kwamba ni kichekesho.
#Ama kweli Kazi Inaendelea.
Mwendazake hakuwanyanyasa machingaKuna Mama mmoja alisikika akinena baada ya kushiba urojo, viazi mbatata na juisi ya miwa "Mimi na mwendazake ni wale wale, tofauti yetu ni jinsia tu, msini dharau kisa mimi ni mwanamke, zege hailali, kazi iendelee, na nawaahidi mimi ni muendelezo wake mwendazake".
Jopo la wateja waliokua pale kilingeni walicheka sana kana kwamba ni kichekesho.
#Ama kweli Kazi Inaendelea.
Wanafunzi wa chuo cha Ardhi wanaweza kupewa project ya kubuni majengo kando ya barabara kuu. Halmashauri ziyajenge na kupangisha Wamachinga.
Mji utakua msafi, watauza bidhaa kwa heshima na hawataki na adha za mvua na jua.
Huna akili.Toka lini cdm mmeanza kutetea wamachinga? Nyie tunajua ni watetezi wa mabeberu!
Kwa unafiki mumo sana. Hilo kama limetokea litamalizwa tu lakini sio kete ya cdm kujipenyeza.
Cdm mmeshatuonyesha rangi zenu halisi endeleeni kuvuna mlichopanga. Juzi juzi tu hapa kutwa kumchamba aliyekua mtetezi wa wanyonge na kuwakebehi hao hao wamachinga waliokuwa wanamlilia! Mlifika mbali mpaka mkafikia kutukana kabila la wasukuma, haya cdm ngoja tuone.
Hakuna cha ajabu hapo, hao machinga wamezidi nao.. wao kila mahali wanaona ni sawa kupanga bidhaa zao.
Juzi nimepita daraja la kimara pale wamesafishwa wote yan pamependeza.
"Wakati mnaendelea na mijadala mingine nawafahamisha kwamba Mkurugenzi wa Kahama Anderson Msumba akiwa na Polisi & Mgambo wamewavamia wafanyabiasha wa Kahama na kuwapiga virungu kisha wameiba bidhaa za Wafanyabiasha hao kwa madai kuwa wanafanya biashara maeneo ambayo sio sahihi."- Hilda Newton
View attachment 1857843
Wale jamaa hata wanawake wanashea hawanaga shida,Vita vya muda mrefu vimeaathiri sanaNimeona Waafuganistan wanagawana duka moja watatu na wanachangia kodi pamoja. Kama halmashauri ikiweka kodi laki moja kwa mwezi wanaweza kugawana mwenye leseni akatoa 30 na wenzake kutoa 35x2
Kwanini hao machinga wanadekezwa sana? yaani wao kila mahali ni mabiashara yao tu. Hata kwenye choo wanaweka biashara."Wakati mnaendelea na mijadala mingine nawafahamisha kwamba Mkurugenzi wa Kahama Anderson Msumba akiwa na Polisi & Mgambo wamewavamia wafanyabiasha wa Kahama na kuwapiga virungu kisha wameiba bidhaa za Wafanyabiasha hao kwa madai kuwa wanafanya biashara maeneo ambayo sio sahihi."- Hilda Newton
View attachment 1857843
Sawa kabisa,acha wamachinga waonjeshwe joto la jiwe.Kama wasomi wenyewe ndio hawa wakina mwigulu mchemba , acha awaponde tu
Kwa taarifa yako Magufuli aliamua kuwaachia hao wamachinga wafanye biashara holela ili kuwawin, baada ya kugundua wamachinga wengi wana mapenzi na Cdm. Hivyo kwa sasa ccm imebidi ifanye penzi la shuruti na wamachinga ili kuhakikisha cdm hawawasogelei, na kutengeneza ushawishi zaidi kwao. Ila tatizo ni moja, penzi la lazima halidumu hata mtumie njia gani.Toka lini cdm mmeanza kutetea wamachinga? Nyie tunajua ni watetezi wa mabeberu!
Kwa unafiki mumo sana. Hilo kama limetokea litamalizwa tu lakini sio kete ya cdm kujipenyeza.
Cdm mmeshatuonyesha rangi zenu halisi endeleeni kuvuna mlichopanga. Juzi juzi tu hapa kutwa kumchamba aliyekua mtetezi wa wanyonge na kuwakebehi hao hao wamachinga waliokuwa wanamlilia! Mlifika mbali mpaka mkafikia kutukana kabila la wasukuma, haya cdm ngoja tuone.
Ndugu uko sahihi laini hii haimanishi wazibe njia za waenda kwa miguu,ngazi za kupandia zimejaa wao,barabara(ndani ya barabara),kwani uko mkoa gani mwenzetu inawezekana huko kero za hawa hazipo?Kama wanafanya umachinga ili kujikimu kimaisha hakuna tatizo. Hawa ni watanzania wenzetu ambao wanatafuta chochote ili waweze kuishi.
Kama mimi na wewe tumefanikiwa kuishi maisha ambayo hayahusiani na umachinga, basi tushukuru sana. Tusitumie shibe yetu kutaka kuharibu shibe za wengine ambazo hata kuzipata kwake ni mbinde
Ndugu hii signature yako "'Ukitaka kuwa masikini nchi hii, danganywa kwenda kulima. Utalima kwa gharama zako lakini wakati wa kuuza utapangiwa bei na anayeishi mjini"Kwa taarifa yako Magufuli aliamua kuwaachia hao wamachinga wafanye biashara holela ili kuwawin, baada ya kugundua wamachinga wengi wana mapenzi na Cdm. Hivyo kwa sasa ccm imebidi ifanye penzi la shuruti na wamachinga ili kuhakikisha cdm hawawasogelei, na kutengeneza ushawishi zaidi kwao. Ila tatizo ni moja, penzi la lazima halidumu hata mtumie njia gani.
Huyu Hilda Newton ni binti mzushi na muongomuongo sana...."Wakati mnaendelea na mijadala mingine nawafahamisha kwamba Mkurugenzi wa Kahama Anderson Msumba akiwa na Polisi & Mgambo wamewavamia wafanyabiasha wa Kahama na kuwapiga virungu kisha wameiba bidhaa za Wafanyabiasha hao kwa madai kuwa wanafanya biashara maeneo ambayo sio sahihi."- Hilda Newton
View attachment 1857843