Wamachinga Kahama waonja "Joto ya jiwe" ya Polisi na Mgambo sambamba na Mkurugenzi wa Halmashauri

Hilda Newton anataka WAMACHINGA wafanye biashara mpaka nje ya IKULU.....wafanye biashara mpaka nje ya mageti ya HOSPITALI....

Siasa koko kabisa.....
 
😍
 
Wanafunzi wa chuo cha Ardhi wanaweza kupewa project ya kubuni majengo kando ya barabara kuu. Halmashauri ziyajenge na kupangisha Wamachinga.

Mji utakua msafi, watauza bidhaa kwa heshima na hawataki na adha za mvua na jua.
Leo umetoa point sana. Sina hakika kama waliopo wanaweza kufanya mambo mazuri kama haya ya kutumia wataalam na utaalam wa ndani kutatua kero za jamii. Ngoja tuone, hongera kwa wazo murua.
 
Wanafunzi wa chuo cha Ardhi wanaweza kupewa project ya kubuni majengo kando ya barabara kuu. Halmashauri ziyajenge na kupangisha Wamachinga.

Mji utakua msafi, watauza bidhaa kwa heshima na hawataki na adha za mvua na jua.
Mvomero walijengewa banda kando ya barabara wakalikataa wakarudi barabarani wanakimbizana na magari, labda banda hilo liwe na magurudumu na uwezo wa kukimbizana na wateja!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…